Jamaa kaletewa Laptop yakufanyia marekebisho na mpenzi wake anaetaraji kufunga nae ndoa nakuishi kama mke na mume.
Katika kuiwasha akagundua ndani ya cd drive kuna VCD ku play ni ya picha za ngono.
Katika kumhoji mpenzi akadai hapa town hiyo ni biashara huwa analetewa anazitoa copy kwaajili...
Naomba mnisaidie katika hili, Hivi hawa wabunge wa ccm inakuwaje wana lalamikia hotuba za bajeti sana na mwisho wanaunga mkono hoja nimekuwa nikitafakari jambo hili na sijapata jibu kama ndio utaratibu wa chama au ndivyo inavyo stahili kuwa.
Naomba kuwa silisha angalao mnifungue katika hili.
wana Jamii, Mchana huu Mh. Raisi J.K ameingia bandarini kukagua shughuli zina vyoendeshwa.
Wadau tunao shughulika humu ndani tumezuiwa kuingia, mageti yamefungwa kupisha ugeni huo.
Hivi storage watatudai au ndo tumeumia sijui uchumi wa nchi hii unaendeshwaje kwakweli nine kwazika sana leo
Hivi punde nimetokea mitaa ya kati kuutafuta mchana mwema, hapa NMB morogoro Rd. branch kuna foleni kubwa ndani kiasi kwamba Binti mmoja ameshindwa kuhimili amedondoka na kuzirai hivi nimepishana na wasamaria wema wamembeba wana muwahisha APOLO Hosp. iko jirani kabisa na benki hii.
Kweli kuna...
Serikali inaanzisha mradi wa mabasi yaendayo kasi kuja katikati ya jiji ili kupunguza msongamano na foleni katikati ya jiji.
Barabara ndo hivyo Mh. John P. Magufuli anaendelea nayo ili kufanikisha hili.
Hivi kweli hili ndilo suluhisho la foleni? Na mabasi haya yataleta tija kwa Taifa hili?
Je...
Mbunge wa Kigoma kaskazini Mh. Zito amemweleza Spika awasisitizie mawaziri wapungeze salamu na kuitana dada, mke wangu kaka yangu na pia waeleze maslahi binafsi kwenye mambo wanayo changia kama yapo........ Hebu tuone Spika ata fanyaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.