Huyu hafai kabisa TAKUKURU wapo kila wilaya iweje aje atoe propaganda ya kijinga kiasi hicho.
Hata Magufuli mwenyewe kaamua kumnadi Mrema badala yake maana kiongozi wa namna hii hastahili hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi.
Kusema Ubaya wa mtu siyo tatizo, Tatizo ni dhihaka ya afya ya mtu hapo ndipo tatizo lilipo maana uzima ni tunu kutoka kwa Mwenyezi Mungu hakuna anaye ombea udhaifu katika mwili wake au mapungufu ya muumbaji.
Mkuu katika janga ninalo liona mbeleni ni huyu bwana akiukwaa huo uraisi, Maamuzi yasiyo zingatia mazingira, weledi na hekima kwa ULEVI wa madaraka tutajutaa.
Bulembo unapaswa kutambua Sumaye ana stahili malipo pamoja na ulinzi kama haki yake ya msingi ki KATIBA. Siyo swala la kumwambia aache awe raia wa kawida KATIBA YA NCHI inataka hivyo.
Nilisha chagua Lowasa sito badili nia kwa maneno ya Slaa maana alipaswa kunishushu kabla ya safari kwa sasa naitazamia nchi ya ahadi yeye aka pumzike alee mjukuu wake! (Maana umri wake na mwanae ni mtu na mjukuu.
Kanisani kashindwa, Ndoa kashindwa, CCM kashindwa, CDM ndo hivyo tena sasa hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.