UTT AMIS sio uwekezaji wa mda mfupi upate utajiri wa haraka. Huu ni uwekezaji unaohitaji muda mrefu. Mfano walioanza kuwekeza 2005 Umoja fund thamani ya kipande ulikuwa 70 let's say mtu aliweka 70m at that time now thamani ya kipande ni 1007 it means angekuwa na 1bil now. Just imagine 19 years...
Kwa huo mshahara kwangu Mimi ninge budget ifuatavyo;
Chakula - 150,000/= ningependelea kupika geto kama ni wali nakula usiku na asubuhi nanywea chai.
Pango isizidi 50,000/=
-Nauli kama ni mbali na kazini ningehakikisha gari moja to office - 50,000/=
- Mengineyo - 50,000/=
Savings UTT -...
Unaweza chukua mkopo Hadi 80% ya pesa yako uliyoweka UTT. Ukishaweka pesa zako UTT utapewa certificate ambayo itaonyesha kiasi chako cha pesa ambzo zitastand as collateral kwenye benki yoyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.