Wadungu nili-install XAMPP siku chache zilizopita, the apache ikawa inagoma ku-start nikaja kukundua kuwa previous installation ya XAMPP ndio tatizo, kwani under services>apache ilikuwa inapoint ktk old installation ambayo(installation folder nimedelete tayari) nilikuwa nimeidelete zamani sana...
Wiley, PHP & MySQL Everyday Apps for Dummies (2005)).
Mtazamaji angalia boldface...hawana source codes za kitabu hicho...
Nashukuru kwa mchango wako...thanks sana
Ukizipata niwekee link tafadhali.
Naomba msaada wa source codes za kitabu hiki hapa kwa mwenye nazo(Wiley, PHP & MySQL Everyday Apps for Dummies (2005)). Mwandishi anaitwa JANET VALADE. Soft copy ya kitabu ninayo, lakini Souce codes sinazo.
Nimefikiria kukinunua lakini sina VISA card...pia sina udhoefu wa kununua kupitia...
WanaJF,
Mama ANNA ABDALA ndiye speaker wetu kuanzia leo.
PM anabaki MIZENGO PINDA.
Mawaziri wengi mwaka huu ni kinamama tuu, wanaume imekula kwao.
MwanaJF Dodoma.
Wadau JF!
Naomba sehemu ya sheria za nchi+TRA zinawahusu(zinazofafanua utaratibu mzima) wale(hasa wanafunzi) wanaopaswa kupatiwa msamaha wa kodi, pindi wanapoingiza vitu vyao nchini.
Natanguliza shukrani.
Octoba, 31 tujitokeze kwa wingi pia, kufanya kweli.
Nimesikia The Guardian la Tarehe 20, mwezi huu lilikuwa na matangazo ya kazi za kumwaga.
Naomba mwanaJF aliye na kipande hicho aturushie hapa tuanze kutuma maombi kwa wahusika.
Natanguliza shukrani.
Thanks mtazamaji
Ningependa kufanya 1Z0-051 na 1Z0-052, sasa namalizia kusoma 1Z0-051 and
Oracle® Database SQL Language Reference11g Release 2 (11.2)
, lakini nahitaji mawazo zaidi na mbinu nyingine hasa kwa watu wenye experience kama wewe.
Naomba msaada wako wa tricks za kushinda hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.