MASONJO SAMAHANI NIKUULIZE, ulisoma kozi gani pale UDSM?
na ulikuwa mwaka wa ngapi wakati Waitara akiwa Rais wa DARUSO?
Je, Unaweza kutueleza wana janvi ni deal gani alizokuwa akipiga akiwa kama Rais enzi hizo?
Kwa ufupi tu nikufahamishe, Mwita Waitara ni kiongozi shupavu asiyepelekeshwa hata...
MASONJO SAMAHANI NIKUULIZE, ulisoma kozi gani pale UDSM?
na ulikuwa mwaka wa ngapi wakati Waitara akiwa Rais wa DARUSO?
Je, Unaweza kutueleza wana janvi ni deal gani alizokuwa akipiga akiwa kama Rais enzi hizo?
Kwa ufupi tu nikufahamishe, Mwita Waitara ni kiongozi shupavu asiyepelekeshwa hata...
Labda mwezi huu wa kumi, ila mwezi uliopita me nilisafiri kwenda Doha na walikuwepo wasichana kibao wanaenda kufanya kazi uarabuni. Yaani mpaka nilishangaa hadi mmojawapo nikamuuliza wanapataje hizo kazi akanielezea na nikamuuliza maswali mengi sana. Akanionyesha na Nyaraka zake pia.
Shida ni kwamba maelezo yako hayakujitosheleza kwa mtu ambaye hajui kabisa hawezi kufanikiwa kwa kufuata maelezo yako uliyokuwa umeandika. ungetakiwa ufafanue vizuri namna ya kupata mtoto wa kiume ili msomaji aelewe zaidi. Maelezo yako, yako too general hebu yasome tena mara mbili na uya-digest...
Ndugu usidanganye watu si siku zote mwanamke anapofanya tendo la ndoa anapata mtoto au mimba kuna siku specific za mimba vivyo hivyo kuna siku maalum za kupata mtoto wa kiume, usipozingatia hizo hutapata mtoto wa kiume hata kama utafanya kama ulivyoelekeza, wapo wataalam humu jf wanajua...
Leo tukiwa katika mazungumzo ya hapa na pale katika kituo changu cha kazi nimestuka kusikia kuwa lile ganda la Soya linaweza kusababisha kansa! Kwa kweli nimestuka sana manake watoto wangu nimekuwa nikiwatengenezea lishe iliyochanganywa na Soya!
Nilichokuwa nafanya ni kukaanga tu ile soya ili...
Najua hapa ndo kitovu cha busara na elimu za kila aina. Ninaomba msaada wa kuwa na ujuzi wa kupanga jinsia ya mtoto. Izingatiwe kuwa mtu anapojibu swali azingatie mzunguko wa hedhi wa SIKU 24 na 28. Yaani hiyo iwe reference ya majibu. Nasubiri majibu yenu waungwana.
usidanganyike kaka mzuri ni mkeo peke yake ndo maana ulimchagua ukamuoa. Achana kabisa na huyo binti na unatakiwa kumwonyesha msimamo wako kuwa humtaki. Ukitaka kuibomoa ndoa yako kwa mikono yako mwenyewe we jaribu tu utayaona matokeo.
Inawezekana ulivyosema kuwa kweli kabisa. Kuna kawaida laani fulani huwa zinafuatilia ukoo fulani. Na mtu asipogundua hilo ni hatari sana kweli anaweza kusababisha akaachika kabisa. Kama kuna kitu kama hicho au kingine ukikigundua si kizuri kinafuatilia ukoo au kizazi ni bora kumkabidhi Yesu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.