Habari Zenu Machief! Taarifa Ni Hii...
Kwa Mahitaji Ya Vyumba, Nyumba,
Viwanja, Mashamba, Plot,Yard, Godown/Warehouse,Ofisi ya biashara, Frem, Beach, magari (usafiri wowote) n.k sehemu Yoyote Ndani Ya Mikoa ya
Arusha na Dar es salaam
Pia Kwa Mwenye Nyumba,Plot,Kiwanja, Mashamba,Beach,Magari Nk...
Habari Zenu Machief! Taarifa Ni Hii...
Kwa Mahitaji Ya Vyumba ,Nyumba,
Viwanja,Mashamba,Plot,Yard, Godown/Warehouse,Ofisi ya biashara, Frem, Beach,magari (usafiri wowote) n.k sehemu Yoyote Ndani Ya Mikoa ya
Arusha na Dar es salaam
Pia Kwa Mwenye Nyumba,Plot,Kiwanja, Mashamba,Beach,Magari Nk...
Wanatetemeka, wanaogopa nini hasa...
Hawajui kuwa Wasapu ipo hand to hand encrypted....?
Wadukue kama wanaweza nyambafu....
Wabunifu Wa huu mtandao walishajua saro iatawafatilia sana RAIA wake....
So wakatuwekea... SEKYURITI
Hii taarifa imeonekana kuwa ni fake...
Maana takwimu inaonyesha makusanyo ya mwezi September wote....ilihali barua imechapishwa tarehe 10/09/2017....
Hamuoni kuwa tumeongopewa hapo...?
Mnaopongeza inabidi tuwachunguze vyeti...
We
Anakuambia hivi kwakuwa hukuitafuta nyumba mwenyewe Ila kwa msaada wa dalali....
Kama ndivyo basi inakubidi utumie the same way uliyoitumia mpaka ukaijua nyumba...
kama uliijua nyumba mwenyewe bila dalal je dalali anahusikaje hapo..?
Tafuta nyumba, kiwanja peke yako alafu uone kama dalali...
Tusijifanye kama hatujui,
huyu bwana(Gwajima),
ameshawahi kukutana na misukosuko mingi ikiwemo kukamatwa, kuteswa na pia kuvunjwa vunjwa miguu ili asitembee jambo lilifanya na wale viumbe wafata amri..
Mnakumbuka Nabii Elia alikuwa anawafanyaje wale wote waliokuwa wanataka kumkamata.?.
JIBU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.