Search results

  1. Sauti za Wananchi

    Twaweza na Wadau wa AZAKI wakutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari kueneza uelewa wa Marekebisho ya Sheria 8 yaliyopelekwa Bungeni kwa dharura

    Ikiwa ni siku kadhaa tangu Asasi za Kiraia nchini kama sehemu ya wadau katika kuchangia mabadiliko ya sera na sheria mbalimbali kupokea mapendekezo ya marekebisho ya sheria nane tofauti (mapendekezo hayo yalifikishwa kwa Kamati ya Bunge ya katiba na Sheria kwa hati ya dharura), Twaweza...
  2. Sauti za Wananchi

    UBAKWAJI WA TELEZA: Polisi huwaachia watuhumiwa bila kutoa sababu za msingi

    Teleza ni jina linalomaanisha aina ya ubakaji unaotokea ndani ya kata ya Mwanga Kusini katika Halmashauri ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma. Jina hili lilitokana na kwamba, wakati wa usiku kuna wanaume wamekuwa wakiingia kwenye nyumba wanazoishi wanawake na kuwabaka. Watu hawa kabla ya kufika kwa...
  3. Sauti za Wananchi

    UBAKWAJI WA TELEZA: Sifa Kuu za Wabakaji wa Teleza

    Teleza ni jina linalomaanisha aina ya ubakaji unaotokea ndani ya kata ya Mwanga Kusini katika Halmashauri ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma. Jina hili lilitokana na kwamba, wakati wa usiku kuna wanaume wamekuwa wakiingia kwenye nyumba wanazoishi wanawake na kuwabaka. Watu hawa kabla ya kufika kwa...
  4. Sauti za Wananchi

    UBAKWAJI WA TELEZA: Mtoto aathirika kisaikolojia kwa kushuhudia unyama wa Teleza dhidi ya dada zake

    Teleza ni jina linalomaanisha aina ya ubakaji unaotokea ndani ya kata ya Mwanga Kusini katika Halmashauri ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma. Jina hili lilitokana na kwamba, wakati wa usiku kuna wanaume wamekuwa wakiingia kwenye nyumba wanazoishi wanawake na kuwabaka. Watu hawa kabla ya kufika kwa...
  5. Sauti za Wananchi

    UBAKWAJI WA TELEZA: Daktari alisema tumekuwa wagumu ndio maana tunaingiliwa; jamii inatushutumu kula pesa za wanaume na kuwakimbia

    Teleza ni jina linalomaanisha aina ya ubakaji unaotokea ndani ya kata ya Mwanga Kusini katika Halmashauri ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma. Jina hili lilitokana na kwamba, wakati wa usiku kuna wanaume wamekuwa wakiingia kwenye nyumba wanazoishi wanawake na kuwabaka. Watu hawa kabla ya kufika kwa...
  6. Sauti za Wananchi

    UBAKWAJI WA TELEZA: Sikuridhishwa na huduma ya Polisi na Hospitali baada ya kuumizwa

    Teleza ni jina linalomaanisha aina ya ubakaji unaotokea ndani ya kata ya Mwanga Kusini katika Halmashauri ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma. Jina hili lilitokana na kwamba, wakati wa usiku kuna wanaume wamekuwa wakiingia kwenye nyumba wanazoishi wanawake na kuwabaka. Watu hawa kabla ya kufika kwa...
  7. Sauti za Wananchi

    Uzinduzi wa Kitabu cha 'Uwajibikaji Ndani ya Kalamu Isiyokuwa na Wino' kilichoandikwa na CAG Mstaafu, Ludovick Utouh

    Book title: Uwajibikaji Ndani ya Kalamu Isiyokuwa na Wino Swahili term for Accountability in an Inkless Pen. Author: Ludovick Utouh Author’s Status: Immediate former Controller and Auditor General of Tanzania (2006-2014) and Executive Director of WAJIBU – Institute of Public Accountability...
  8. Sauti za Wananchi

    Asilimia 65 ya Wananchi hawawezi kushiriki Maandamano 2018 kutoka 50% ya 2016; Mange aliungwa mkono kuliko UKUTA

    Ikilinganishwa na takwimu za mwaka 2016, idadi ya wanaosema wana uwezekano wa kushiriki maandamano imeshuka kidogo sana kutoka 29% mpaka 27% Aidha, Idadi ya wanaosema hawana uwezekano wa kushiriki imeongezeka kutoka 50% mpaka 65% Asilimia 45 ya wafuasi wa vyama vya upinzani wanasema wana...
  9. Sauti za Wananchi

    UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

    Utafiti wa Sauti za Wananchi, Awamu ya 27 wa Aprili 2018 umebaini 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli tangu alipoingia madarakani 2015. Kukubalika huku kumepungua kutoka 96% mwaka 2016 na 71% mwaka 2017 Kiwango cha kukubalika kwa Rais kimeshuka kutoka kwenye rekodi ya juu...
  10. Sauti za Wananchi

    Wake up call?: 52% of parents would take their children to private rather than public schools if both were free

    The public sector dominates the education landscape in Tanzania. Nine out of ten households (90%) report that their children exclusively attend public schools. The share of households with a child in private school remained constant at 10% between August 2016 and September 2017. While nine...
  11. Sauti za Wananchi

    Siyo kwa Kiasi Hicho? 60% hawako huru kumkosoa Rais lakini 83% wanaweza kuwakosoa Wenyeviti wa Mtaa au Kijiji

    Wananchi 6 kati ya 10 wanasema hawako huru kukosoa kauli zinazotolewa na Rais. Idadi kubwa ya wananchi (60%) wanasema hawako huru kukosoa kauli zinazotolewa na Rais wakati asilimia 54 wanasema hivyo kuhusu kauli zinazotolewa na Makamu wa Rais na asilimia 51 Waziri Mkuu. Wananchi wanajisikia...
  12. Sauti za Wananchi

    Siyo kwa Kiasi Hicho? Maoni ya watanzania kuhusu taarifa na mijadala

    Mtazamo wa Wananchi katika suala la haki na uhuru wa kidemokrasia unakinzana na uongozi, hususani wa Rais uliodhamiria kushughulikia vitendo vya rushwa na maovu serikalini. Katika nchi nyingi, vyombo huru na imara vya habari pamoja na uhuru wa kujieleza huchukuliwa kama nyenzo muhimu katika...
  13. Sauti za Wananchi

    Uwezo Tanzania: Mjadala kuhusu tofauti za kujifunza na huduma za kielimu nchini Tanzania

    Taasisi ya Twaweza inaendesha mjadala kuhusu ukosefu wa usawa katika Elimu nchini Tanzania. Uwezo Tanzania hutoa Ripoti ya Wastani wa kujifunza kwa wanafunzi nchini Tanzania. Lakini je, watoto hawa wote wanawakilishwa na wastani huu? Mjadala huu unasimamiwa na Uwezo Tanzania na unaangazia...
  14. Sauti za Wananchi

    CAG Mstaafu, Ludovick Utouh: Sheria inamruhusu Rais kutumia fedha za umma kisha Bunge likaidhinisha baadae

    Ni wiki nyingine tena ambapo tunaendelea kuwaweka 'Kitimoto' viongozi wa Serikali kupitia programu yetu mpya ya #NjooTuongee ambayo hurushwa kila siku ya Ijumaa, Saa 12 na nusu jioni LIVE kupitia Star TV, JamiiForums YouTube Channel na kurasa mbalimbali za mitandao ya kijamii. Leo tunakuletea...
  15. Sauti za Wananchi

    Ripoti: Tanzania inapoteza kiasi cha Bilioni 793 kila mwaka kutokana na Walimu kutokuwepo shuleni(Utoro)

    Tangu mwaka 2013, Twaweza imekuwa ikitekeleza mpango wa KiuFunza(Kiu ya Kujifunza). Awamu ya kwanza ililenga kupima athari za bahshishi kwa walimu katika kujifunza kwa wanafunzi wa madarasa ya chini. Tanzania imefikia karibu lengo la kimataifa la uandikishaji wa watoto katika shule za msingi...
  16. Sauti za Wananchi

    Waziri wa afya, Ummy Mwalimu asema anakerwa na wakuu wa Mikoa au Wilaya kumweka ndani Daktari kwa changamoto za kitaalum

    Ni wiki nyingine tena ambapo tunaendelea kuwaweka 'Kitimoto' viongozi wa Serikali kupitia programu yetu mpya ya #NjooTuongee ambayo hurushwa kila siku ya Ijumaa, Saa 12 na nusu jioni LIVE kupitia Star TV, JamiiForums YouTube Channel na kurasa mbalimbali za mitandao ya kijamii. Wiki hii...
  17. Sauti za Wananchi

    Twaweza kutoa zawadi kwa walimu waliofanya vizuri katika Utafiti wa KiuFunza

    Tangu mwaka 2013, Twaweza imekuwa ikitekeleza mpango wa KiuFunza(Kiu ya Kujifunza). Awamu ya kwanza ililenga kupima athari za bahshishi kwa walimu katika kujifunza kwa wanafunzi wa madarasa ya chini. Katika awamu hiyo, wanafunzi walifaulu 20% zaidi katika masomo ya Kiswahili na Hisabati. Tangu...
  18. Sauti za Wananchi

    Njoo Tuongee: Waziri Selemani Jafo afafanua Masuala ya Vyeti feki, Viwanda 100 kila Mkoa, Wafanyakazi kujiendeleza...

    Baada ya mapumziko kwa wiki kadhaa, tumerejea ndani ya Mwaka Mpya 2018 ambapo tunaendelea kuwaweka 'Kitimoto' viongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano kupitia programu ya #NjooTuongee ambayo hurushwa kila siku ya Ijumaa, Saa 12 na nusu jioni LIVE kupitia Star TV, JamiiForums YouTube Channel na...
  19. Sauti za Wananchi

    Demokrasia yetu: Mjadala wa wazi kuhusu Demokrasia na nafasi ya wananchi katika kutoa maoni yao nchini Tanzania

    Serikali ya Awamu ya 5 ya Tanzania imefanya mambo mengi yanayostahiki pongezi kutoka kwa wananchi ikiwemo Kupunguza Rushwa, Kuboresha mbinu za ukusanyaji wa kodi, kuoongeza uwajibikaji kwa watumishi wa umma na kupunguza matumizi yasiyo ya lazima Serikalini. Licha ya hayo yote kumekuwa na...
  20. Sauti za Wananchi

    Njoo Tuongee na Prof. Kitila Mkumbo: Tatizo lolote la Maji mwananchi apatalo, linatakiwa kutatuliwa ndani ya siku saba

    Ni wiki nyingine tena ambapo tunaendelea kuwaweka 'Kitimoto' viongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano kupitia programu yetu mpya ya #NjooTuongee ambayo hurushwa kila siku ya Ijumaa, Saa 12 na nusu jioni LIVE kupitia Star TV, JamiiForums YouTube Channel na kurasa mbalimbali za mitandao ya kijamii...
Back
Top Bottom