Windows cannot be installed to the disk.
The selected disk has an MBR partition t?ble. On EFI system, Windows can only be installed to GPT disks.
Hiyo ndio message ninayoipata w?kati ni Install windows 8.
Hivyo ndivyo hali ilivyo, vijana wanasoma stashahada ya juu(higher diploma) na mafunzo yote hapa yanaendeshwa kwa mfumo wa chuo kikuu academically yaani pindi linapigwa kisha notes ni gharama ya mwanachuo kununua handout.
Ishu inakuja kwamba vijana waliahidiwa kupewa mikopo pamoja na ruzuku na...
Acheni KUMBWELA MASHABIKI MAANDAZI....Rogers ni bonge la kocha. Hivi unategemea nini wakati timu imenunua wachezaji zaidi ya tisa...inahitaji muda wachezaji hawa kuweza kuelewa mfumo wa kocha na kisha mambo yatakuwa safi.
ZANZIBAR tuanaowaita urojo yaani watu legelege wamethubutu kupiga japo kura ya hapana tena hadharani na tumeona jinsi mwanashria mkuu wa zanzibar alivyoonyesha msimamo wake na kupiga kura ya hapana. vipi sasa Watanganyika ambao mnajiona kwmba nyie ni ngangari vipi mbona kimya, mbona mnaburuzwa...
ka ma wewe ni muislam ukiwa na hasira kachukue udhu kisha pata rakaa mbili....yaani moyo wako utakuwa laini kabisa hasira zote zitapotea. ALLAH YAALAM.
Nakumbuka darasa moja la wahuni pale Arusha Sec yaani hao jamaa ni shida ilibidi mda wa break darasa lao lifungwe kwa nje ili wasiwasumbue madogo. Mpaka break ikkisha basi nao ndio wanaenda kupata break yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.