GoldDhahabu Uko sahihi Mkuu bora Mkoloni kuliko Utawala huu tulonao.
Sio tu Serikalini bali hata kwenye Taasisi na NGO's mbalimbali sijui sisi Watanzania tuna shida gani.
Ndugu yangu mmoja anafanya kazi kwenye Kampuni moja kubwa sana ya Uchimbaji madini hapa Tanzania anasema toka Wazungu...
kadogo2 Wanasema.."kufanyakosa si kosa bali kurudia kosa"
Mwambie kama kweli ana nia ya dhati ya kukufanya mwenzi wake basi mwelekeze aende kwenu akaanze taratibu rasmi ili muda utakapofika wa yeye kuoa basi aanzie hapo. Ole wako umfungulie tena miguu jamaa ndo utajua rangi yake halisi.
Ni...
Ni kweli kabisa Mbunge kaongelea Polisi na Magereza wenye rank moja why walipwe tofauti?
Ndo maana ana mtetea askari Magereza ili alipwe sawa na Polisi...
Hapo alipaswa kuweka na Basic salary ya Askari Mwanajeshi wa JWTZ mwenye nyota au rank moja na hao wa Plisi na Magereza ndo Ungeshangaa. Obvious Luteni Usu wa JWTZ atakuwa analipwa zaidi ya 1.2m. Mwenyekuwa na takwimu sahihi atuwekee hapa.
MAGEREZA-850,000=
POLISI-950,000=
JWTZ-?
Mkuu...
]
Uncle bright Hawa jamaa nawakubali sana ni Kama vile Wachagga wa Bongo
Pata wimbo hapa uloimbwa kwa Igbo language, toka Kusini Mashariki ya Nchi ya Nigeria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.