Wadau habari yenu,
Kama wiki mbili zilizopita nimepoteza laptop yangu aina ya Toshiba Satelite Pro pamoja na modem ya airtel pale CRDB Bank Tawi la Mbezi kwenye parking ya magari.....Laptop siyo issue tatizo data nilizokuwa nimedhihifadhi kwenye hiyo laptop....naomba ushauri police hawangaiki...
kujua kutumia keyboard hakukufanyi kuwa mjanja au kujua yote kuliko mzazi wako....tusitukane walimu waliotufundisha kuumba herufi a....mimi ni product ya walimu wa UPE kwa wale wanaofahamu....nawapa pongezi walimu pamoja na mazingira duni ya kikazi mmo tuu, mambo mgawanyiko wa majukumu.
Kwanza nampa pole huyu kijana....habari nilizonazo kutoka kwa walimu wa shule hiyo ni kwamba huyu mwanafunzi alichapwa viboko matakoni, lakini inasemekana ana matatizo ya figo...baada ya kuchapwa akaanza kuumwa na kuzidiwa ambapo alipelekwa hospitali ya Amana ambako alipewa dawa zilizosababisha...
Haya yanatukuta siyo tu serikalini hata katika sector binafsi ambako sasa soko linaendelea kujaa wakenya, wanatoa nafasi kwa walionacho au walio serikalini ili kupata uhalali wa kukaa hapa kuendelea kunyonya maziwa si kwa mirija ila mabomba....kwa nini tusiwe mashujaa tukazuiya haya mambo?
Asalaam Aleykum wana JF.....I am very new in this forum but why avoiding to respond to this questions? Mwalimu didn't die a natural death, he was a stone in someone's shoes.....ona mambo tunayoyafahamu na mengine mengi tusiyoyafahamu ya kuchakachua nchi yalivyojitokeza na kushughulikiwa kisanii...
Who Cares? umenigusa.....mmoja wa rafiki ya masha ni msomali mkurugenzi wa kampuni fulani, taarifa za kiiteligencia ni kwamba baba yake huyu msomali an fleet kubwa ya magari ya kusafirishia mizigo kutokea kenya....katika mitandao kama hiyo shughuli kama hizo za kimafya kama human trafficking...
viongozi wa serikali ya ccm wasanii, isssue ya wachina ni kwa sababu wananchi walala hoi wamelalamika kule sokoni kariakoo, tatizo la wageni wanaongia isivyo halali ni kubwa sana kuliko mnavyodhani, hapa tuna makundi ya wahindi, waarabu, wakenya, wasomali, wazungu wa kutoka east europe nk. mbaya...
Mimi nimepita hapo mara nyingi na nimeliona kwa macho yangu na kuona hiyo diversion ya line za umeme.....lakini limeondolewa hivi karibuni bila madhara au miujiza yeyote
Udini ulioko Tanzania ni wa mtu mmoja mmoja, wapo watu wanafanya upendeleo katika kutoa fursa kwa kuangalia udini na ukabila....mfano waajiri wa NSSF....uchunguzi wa juu unaonyesha upendeleo wa kidini katika kuajiri na kutoa vyeo.
Wana Makongo wameongea kwenye uchaguzi uliopita....diwani, mbunge wamepewa Chadema...hata kura za uraisi pia.....tunahitaji maendeleo bila kujali tuna kina nani kwani hawana msaada wowote....Mama yetu Mongela alifikia kutuambia kwamba jimbo lake ni UK, sasa tumtegemee aende akaishi...
muheshimiwa ameonyesha kwa vitendo kwamba hakubaliani na manunuzi ya gari hiyo pamoja na kwamba imefuata taratibu za manunuzi, lakini yeye binafsi hakubaliani....ni ujumbe tosha kwa watendaji wake kama wako vizuri ghorofani watajiuliza.
Ninayofuraha kukaribia kwenye forum hii ya jamii....naamini mungu ataniongoza kujifunza kutoka kwenu wanajamii na pia kuwezakutoa mchango wangu
rgds,
hunduka daraa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.