Using July implies the end of a fiscal year not a month of July. No port in sub Saharan Africa has that markup bro... Just common sense...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada unafahamu mfumo wa mmeng'enyo wa chakula wewe , yaani utoke kwenye anus hadi stomach vp utumbo mkubwa na utumbo mdogo huo umbali ni mkubwa mno au kwa sababu umenyiny'ongorota tumboni unaona pafupi ?
majambazi wa mbezi beach wastaarabu sana , yaani hawakuibii wala kujeruhi , wanapiga story na wewe nakukupa kampani hadi police wanapofika .Na kutambua ustaarabu huu polisi wanawaacha waende tu bila kuwatia mbaroni....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.