Fungua account mpya hapa hapa jf nijaribu mimi tuone kama wanawake wote tuna udhaifu.
Na kitu tutakacho kiongea huko pm kilete hapa uwanjani.
Sijawahi shawishiwa na mwanaume kwa njia yeyote nikatoka kwenye mstari.
Mimi sinaga chenga niko direct.
Mwanaume yeyote atakae soma hapa anaruhusiwa...
Mdude kamtukana mama kuliko ile ya mange? Sijajua mdude kasemaje ila ile ya mange ni tusi kubwa hadi nimeona aibu sio fair kabisa.
Nae atazoea matusi maana hata jpm wetu alisemwa mengi.
Mmmh nilichosoma insta kwa account ya mange nimetetemeka watu wanamsema raisi hivyo loh, mange duh, kama kaweza kusema insta huko kwenye app si ndo balaa
2014 au 2015 vipeperushi vilimwagwa mitaani kuwa kesho yake zumaridi anamfufua kanumba.
Wajinga wote walikusanyika iseni ilipokuwa kanisa la zumaridi.
Mama yake kanumba nae alifika kanisani pale🤣🤣
Maombi yakaanza saa tatu asubuhi mpaka jion the great hakuonekana.
Mfalme akawaambia waamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.