Search results

  1. S

    CHADEMA na UKAWA kuweni wazi kuwa mnatetea mafisadi na si mnapigania demokrasia

    Inasikitisha chama tulichokiamini km CDM kuamua kuwapigania wezi wa ardhi ama kweli CDM imekwisha. Wanatabia ya kujilimbikizia Mali kupitia nafasi zao. Tunaomba viongozi wote wastaafu wanyanganywe mali walizopata wakiwa madarakani. Lkn waachiwe walizopata pasi kutumia mmlaka zao. mfano hivi...
  2. S

    DAR: Askari Polisi wanne wauawa na raia 2 wajeruhiwa, silaha zaporwa!

    Shame to you; yaani unafurahia watanzania kuuawa? hapo tu bila kuchangia zaidi imeonekana msimamo wako wa jambo hili. siasa zititufikishe huku jamani, tusishangilie majambazi kuua majambazi, vyama vya siasa muwe makini, majambazi wanaweza kuaharibu jambo zuri la kutafuta haki. hivyi muwe makini...
  3. S

    Mwendokasi katika Mtandao wa Yahoo

    Mbona unalazimisha wkt nilirekebisha hiyo ilikuwa typo error nilikuwa na maana ya pembe 5.
  4. S

    Mwendokasi katika Mtandao wa Yahoo

    Sorry nilikuwa na maana ya pembe tano
  5. S

    Mwendokasi katika Mtandao wa Yahoo

    This is very wrong information: "Dala Dala" does not mean "Dollar" DALA DALA lilitokana na nauli iliyokuwa inatozwa miaka ile ikiwa na shilingi 5 ya pembe tatu, watanzania walikuwa wakiita jina dala. Baada ya mfumo wa mabasi madogo kuanza nauli ikiwa ni dala, yaani shilingi 5. wapige debe wakawa...
  6. S

    Rais wetu utasafisha serikali nzima. Salari haitoshi, hewa ndiyo inatuweka mjini

    Tatizo hili la hewa siyo dogo; walimu wakuu wote wameongeza majina wakifikiri kuna ulaji, hapo utakuja maafisa elimu na wakurugeniz nao wameongeza hewa. mikopo ya elimu ya juu hewa, ajira hewa, kila sehemu ni hewa. Hewa ni mfumo.
  7. S

    Rais wetu utasafisha serikali nzima. Salari haitoshi, hewa ndiyo inatuweka mjini

    Wakuu hivi karibuni imeibuka sakata jipya la HEWA; mwanzoni hewa ilikuwa kwenye utumishi wa umma, sasa hewa amaehamia shule za secondary. Kwa kifupi mishahara ya serikali ni kiduchu, waliweza ku survive miaka 20 ya JK na Mkapa kwa sababu walikuwa na other source of income; fikiria mtumishi wa...
  8. S

    SSRA na PPF nini kinaendelea? Kwanini mnatunyanyasa na hela ni zetu?

    Mswada ulijadliwa lini? mswada ulipitishwa nyuma ya pazia, eti ulijadiliwa kwenye kamati za bunge huko Dsm. Tatizo serikali iliyopita ilikuwa ikishindwa kulipa mishahara ilikua inatoa maagizo, PFF toa bilioni kadhaa, PPF wanatoa, sasa huyo mkurugenzi wa mfuko akamdai Rais wakati nditye alimteua...
  9. S

    SSRA na PPF nini kinaendelea? Kwanini mnatunyanyasa na hela ni zetu?

    Serikali ilikopa kwenye mifuko sasa haina pesa za kuwalipa wanachama, ili kupunguza presure, serikali imeamua kuiambia mifuko izuie fao la kujitoa. hapo ni kesi ya tumbili kwenda kwa nyani.
  10. S

    Mikopo elimu ya juu: Serikali yaweka vikwazo kupunguza waombaji ili kukidhi ahadi ya 100%

    Kasome vitabu vya primary utachoka, mwandishi ni mjasiliamali aliyeshindwa akamua kujifunza kuandika vitabu, kuna kitabu cha sayansi kinatumiwa na shule nyingi za English media, kwa darasa la kwanza na chekechekea ya pili yaani UKG. kitabu hicho kinasema LIZARD NA FROG ni aina ya insects...
  11. S

    Mikopo elimu ya juu: Serikali yaweka vikwazo kupunguza waombaji ili kukidhi ahadi ya 100%

    Aksante kwa hoja kwani hoja hujibiwa kwa hoja, nimecheka kidogo. sitetei viraza lkn chuo Div 1 na 2 haitoshi. nitabaki kutetea watoto wa wanyonge. kwa kifupi alifanya vizuri ni mtoto wa ndg yangu, lkn chini ya usimamizi wangu, wanangu wanasoma huko ST. SECONDARY SCHOOL sina tatizo na nimejipanga...
  12. S

    Mikopo elimu ya juu: Serikali yaweka vikwazo kupunguza waombaji ili kukidhi ahadi ya 100%

    Ndugu yangu pole sana, siku hizi mwalimu kukamata wanafunzi wengi inalipa, sup kila mwanafunzi lazima akate si chini ya 50,000/= mpaka 100,000/= mwalimu ndiyo atafundisha na kuwalengesha mitihani. fikiria mwalimu aliyekamata wanafunzi 100 ana kiasi gani: 100x50,000/= siyo milioni 5? mchezo huu...
  13. S

    Mikopo elimu ya juu: Serikali yaweka vikwazo kupunguza waombaji ili kukidhi ahadi ya 100%

    Umekosea form 1-4 ni zaidi ya 10m. ada sasa private school ni 2,000,000/= mpaka 3,000,000/= bila matumizi mengine km madaftari, track suit za michezo, raba joz 2, mazoezi, michango ya ujenzi, nauli na nk. St. Kayumba kutoka kule katerelo ada ya 40,000 kwa mwaka ilikuwa ni mtihani, leo hii...
  14. S

    Mikopo elimu ya juu: Serikali yaweka vikwazo kupunguza waombaji ili kukidhi ahadi ya 100%

    Nakubaliana na wewe lkn siamini km mwanafunzi wa chuo kushindwa au kuonyesha umahili wake tatizo ni ufaulu wake wa kidato cha 6. kuna maprofesa wengi hawakufanya vizuri secondary lkn wakaamua kurudi kujipanga upya kwa kusoma checti, diploma na sasa ni walimu wa vyuo vikuu. Tatizo la wanafunzi...
  15. S

    Rais Magufuli, Mawaziri na watendaji wake, ni kama ujenzi wa wa Mnara Babeli

    Hii imeaaje mawaziri na wakuu wa mikoa kutoa matamko kisha Rais ku neutralize; je hakuna mawasiliano kati ya mawaziri na ikulu? mfano wakuu wa mikoa ya Dar na mwanza walisema wamachinga waondoke kati kati ya majiji, Raisi amesema machinga waachwe na wao wanastahili kufanya biashara mjini. Kwa...
  16. S

    Mikopo elimu ya juu: Serikali yaweka vikwazo kupunguza waombaji ili kukidhi ahadi ya 100%

    Tuanze lini? watoto wa wakulima wataenda kuunguna na kazi ya wazazi wao st.secondary schools ndiyo watafikia vigezo vya kwenda vyuo na kupata mikopo.
  17. S

    Mikopo elimu ya juu: Serikali yaweka vikwazo kupunguza waombaji ili kukidhi ahadi ya 100%

    Nilimaliza siku nyingi labda kama wewe: miaka ya nyuma kulikuwa na kuchaguliwa siyo kufaulu; kuanzia secondary kutoka primary. shule za secondary na vyuo vilikuwa vichache. wengi walikuwa wanafikia vigezo lkn nafasi zilikuwa chache. mfano hata sasa course ya Medical doctror pale MUHAS kama...
  18. S

    Mikopo elimu ya juu: Serikali yaweka vikwazo kupunguza waombaji ili kukidhi ahadi ya 100%

    Enzi zile km unavyosema mlisoma, nikwambie hata sasa vijana wanasoma lkn kuna tatizo kubwa sana, zamani ukisoma shule binafsi ulionekana km huna akili, shule binafsi walikuwa wanaenda walifeli kupata nafasi kwenye shule za serikali. shule za serikali zilikuwa na walimu wazuri, maabara, vitabu...
  19. S

    Mikopo elimu ya juu: Serikali yaweka vikwazo kupunguza waombaji ili kukidhi ahadi ya 100%

    Siku hizi D inaanzia ngapi? zamani D ilikuwa 21-30 siku hizi D Inaanzia 30. Shule za serikali zamani Div 1-2 wengi, div 4 walikuwa wachache sasa ni kinyume.
Back
Top Bottom