Wenye njaa zao wamepata namba yta Raisi wamempigia na wanamuomba milioni mia hamsini mtaji,baada ya kuchati na kuongea kwa simu bila kuafikiana mkulu kaamua kuibuka nalo kwenye mikutano yao etii sitaki kuombwa hela ,wananiuzi sana watanzania wanaoomba fezaaaaa,
sasa mpaka mnakubaliana mia...
NImefurahishwa sana na kilichotokea jana mjini Arusha na nihamasa kubwa kwa watanzania wote ambao hawajajua hali halisi n mwelekeo wa nchi kisiasa
Naomba ushauri mimi mkazi wa Pemba Kusini,kwa yaliyotokea jana kwa kweli naamini ukombozi wa nchi hii unaanzia Arusha na mimi nataku kuwa mmoja...
sio jana tuu mara nyingi dogo anatoswa kwenye midahalo pale mlimani kuna wakati aliomba kabisa lakini hakuchaguliwa,je ni siasa zake za kijinga au uwezo wake mkubwa sana kiasi kwamba wanazuoni wanamuogopa
Kitila Mkumbo ni mgombea ubunge mtarajiwa wa jimbo la mwigulu nchemba kule singida kwa...
WADAU NISAIDIENI HII SECTION INANITAKA MIMI KAMA MWAJIRI NIANDIKE NA NIREJISTE PLAN YA KUPROMOTE EQUAL OPPORTUNITY SIJAIELEWA KABISA NAOMBA UFAFANUZI WENU,NA KAMA YUPO ALIYEANDIKA THAT PLAN NA KUIPELEKA LABOUR NAOMBA ANIPATIE NIDESE
NATANGULIZA SHUKRANI
Sub-Part C:Discrimination
7.-(1)...
habari, nimefungua migahawa na hotel nahitaji kuku wa nyama mara kwa mara waliokomaa sio vifaranga, hii ni katika kusaidiana wanajamii wenzangu, wale wafugaji tunaweza kuwasiliana 0713403840
Nafikiri lisu anajiandaa kuwa kiongozii wa juu wa serikali ya chadema ,na mimi naamini anauwezo hata wa kuwa waziri mkuu embu nijuzeni kati ya Mh. Lisu na Waziri mkuu Mh. Pinda nani anafaa kuwa waziri mkuu
Mbunge James Mbatia wa CCM C ameapa kuhamasisha bunge kuipinga bajeti ya Waziri Mwakyembe na kuhakikisha waziri huyo anapata shida kwani ni mzushi na amekuwa akiwasingizia wakuu wake kummwagia sumu.
Akizungumza kwa uchungu jana pale T Square alipokuwa akipata moja baridi moja moto akiwa na...
JANA WARAKA ULIOANDALIWA KUMJIBU LEMA ULIKATALIWA NA MKUU WA KAYA BAADA YA KUTUMIWA NA KUJIBU KUTOKA KWA SIMU YAKE NENO MOJA TUU "hapana"
SASA HIVI WAKUU WA KUJIBU WANAHANGAIKA BAADA YA KUPOKEA MAELEKEZO NA MAREKEBISHO YA WARAKA WAO,NAAMINI KUFIKIA LEO JIONI WARAKA WA IKULU DHIDI YA LEMA...
Attorneys > Issa MaigeIssa Maige is a litigation Partner at LawCastles. Issa is one of the best trial lawyers in the country. Recently, he has been involved in complex commercial trials. He was born at Bariadi, Tanzania on 14 April 1969. He was admitted to practice law in Tanzania in 2002. Issa...
ANAONGEA KUHUSU KUMFUKUZIA MBALI SHIBUDA
hayawi hayawi sasa MNYANTUZU ANAPIGWA TEKE KULEEEEEEEEEEEEEEEEEEE ATAHAMIA CCM B AU ATARUDI KWA WAUME ZAKE CCM A???
IBARA YA 55 INAMRUHUSU RAISI KUMTEUA MBATIA KAMA WAZIRI NA KAMA ATAKUWA NAIBU WAZIRI KAMA INAVYOSEMEKAKA NGUVU YAKE ITAKUUWA NDOGO KWANA HATAKUWA MJUMBE WA BARAZA LA MAWAZIRI
55.-(1) Mawaziri wote ambao ni wajumbe wa Baraza la
Mawaziri kwa mujibu wa ibara ya 54 watateuliwa na Rais baada
ya...
20 hours ago
George James
Nchemba umeshasain?
kama hujasain jitahidi usain other wise nikuambie tuu huku JImboni kwako tuna hasira sana na mwenendo wako hasa matusi na kapu la hela Mlilloenda nalo Aruumer
20 hours ago
Mwigulu Nchemba
Ni sain nini umechanganyikiwa Rafiki...
WADAU NAOMBA USHAURI JUU YA MBEGU BORA YA MNYAMA PENDWA KITUMOTO NA RATION ZA CHAKULA NA BAJETI,NATAKA KUANZA NA NGURUWE WAWILI WA KIKE AMBAO WANAKARIBIA KUPANDISHWA
heshima kwenu
WADAU NISHAURINI NATAKA KUFUNGUA HARDWARE NA SALOON YA KUNYOA ILA SIJUI UTARATIBU WA KUPATA VIBALI HALALI TAFADHALI WENYE UTAALAM WANISHAURI
heshima mbele
BWM ANATEGEMEA KUONGEA MCHANA HUU PALE HABARI MBELE YA WAANDISHi WA HABARI KUTOKANA NA TUHUMA ZA KUMUUA JKN
source OFISI YA BWM
==========
UPDATES
WADAU NIMEPENYEZEWA HABARI KUWA BMW HATAONGEA NA WAANDISHI TENA KWANI WASHAURI WAKE WAMEMUAMBIA KWA POLITICS MOVE SIO VIZURI KUJIBU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.