Habari zenu wana jukwaa,
Mdogo wangu wa kiume 18 anatatizo la kupenda sana wanaume wenzie.
Yani anadiriki kusema mwanaume mzuri au handsome amuonapo kavaa mlegezo au anajiweka msafi anampa hamu ya kugegeda kuliko kuona paja la mwanamke.
Majuzi hivi alikuja kunitembelea so home hapa kuna...
Habari zenu wakuu katika pita pita zangu mtaani nilikutana na vijana wanaongelea umuhimu wa crude oil. Basi nkarefer kidogo chemistry yangu nakuona faida zipatikanazo kwa hii kitu kwani ikifanyiwa refining inatoa petrol, diesel na mengine na mabaki yake hutumika kama raw materials kwa chemical...
Wakuu mm so mdau sana humu japo nafatilia mwenendo wa Nchi yetu kupitia humu sema leo nimepost baada ya hili tukio kunisononesha sana.
Ni hiv huku niliko jimbo la lushoto tarafa ya mlola kuna wanafunz wa shule flani wakati wanakimbia mchakamchaka waliimba nyimbo za mabadiliko na kumsifu...
Wakuu ninapoiwasha inaniletea message "machine not in committed state" speaker haifanyi kaz hadi niweke headphone pia port zote hazisomi flash au external drive yeyote hata mederm haisomi . Ningependa kujua ina tatizo gani solution kama ipo kabla sijapeleka kwa fundi.
Ndugu wanajamvi kitecno changu kinasumbua camera ukitaka kupiga picha unaambiwa can't connect to camera. Je tatizo ni software au hardware? Na ntawezaje kulifix. Naomben msaada wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.