Umuofia Kwenu!!
Ni matumaini sote tu wazima ama wenye hitilafu za kiafya as kuugua au kuuguliwa nawatia moyo yatapita na mtayashinda majaribu hayo.
Back to the topic natamani kujua ni kwa nini watu asilimia kubwa kama ni wanaume,wake zao wakipata tu mimba mambo yao yanaanza kwenda mrama...
Habari zenyu wadau wote wa JF!
Ni matumaini yangu kuwa mnaendelea vyema na ujenzi wa Taifa.
Mwaka jana nilipata tatizo la ndugu yangu kujinyonga nyumbani kwangu.Kama ujuavyo sisi tuliopo nje ya nchi hutuchukua muda mrefu kupanga mazishi juu ya kusafirisha kurudisha msiba nyumbani.
Sasa...
Leo asubuhi nikiwa katika pitapita zangu nimekutana na mtu akimpongeza Mboni kwa kujifungua mtoto wa kiume.
Hii imekuja kama suprise kwangu kwani wakati wote wa ujauzito alikuwa kimya tofauti na mtaa wa pili wanavyoinadi mimba ya wifi wa taifa na angalau sasa walimwengu watapunguza kuongea...
Umuofia kwenu!Eem let mi kujitutumua kuuliza kizungu becoz ze lugha ya taifa iz hard for forenaz.Zis nearby for Wema Sepetu and ze msanii zis Ommy dimpoz iz kukaaje?zey kupiga picha tata zea Sauz Africa now adayz Wat iz goin on??Senkyu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.