vp siss ambao tulinunua mwanzoni hicho kitabu cha mafunzo ya green house maana mimi materials nimeshindwa kabisa namna ya kupata na kuijenga hiyo green house wale jamaa wa arusha nimewapigia simu hatukuelewana nikamtuma mtu aende na kaenda na ile page yenye hivo vifaa na bei zake lakn majibu...
kaka mkubwa hapo juu ameongea vizuri sana expirience yake mm nineenda karibuni na nmeshaenda depo mara 2..ya recruit na ya inspectorate na stil npo kwenye hii kampuni nikifundisha kwenye moja ya vyuo vya maafisa kama upo serious nipigie tuonane nikupe expirience vizuri na wat should u do.0717088069
me nilishawazoea ni mambulula sana..mwanzoni walikua wanamkandia sana kafulila alivoibua hii hoja ghafla juzi baada ya kuona upepo cyo mzuri wanaanza kujifanya wanaponda escrow..ni wanafikia mpaka basi hawa clouds
Mimi ni mkufunzi katika mojawapo ya vyuo vya serikali kilichopo hapa dar es salaam.lakini napenda kutafuta opportunity zaidi kwa sabb mishahara haitoshi na haitoshi kupata msingi hata wa kuanzisha kabiashara.Naomba nafasi ya kufundisha masomo ya social sciences ikiwemo communication...
Nashukuru wakuu kwa concern yenu me npo chanika ndipo lilipo eneo nalotaka kutumia mbolea nahisi huyu bwan wa mombasa anaweza kua jirani angalau.Nime kuinbox mkuu
kwa mfano hapa dsm tulioweza kutambuana na kukutanatupo wawili mimi na mbepo myamba yy yupo knyama mm npo tbt so whenever tunapotembeleana tunashare uzoefu, namna ya kupata mkaa bora,masoko,kupeana moyo na mengneyo.Mthalan saivi mimi nina soko wanataka sample ila kwa vile production yangu bado...
Mbepo myamba bora huyo jamaa umemchana live naona zimemwingia naamini hatorudia tena..umesema kweli tupu kama anatakq aprove reality aje kwako,kwa bwn Ally,kwangu au kwa yeyote anaemwona hapo kweny wall.ila watu kama hao wabaya sana wanadiscourage sana wenzo nahisi alikua anadandia tren kwa...
Mkaa wangu nlioufanyia marekebisho baada ya kua na kasoro sample za mwanzo leo nimeujaribu umewaka vizuri leo walipikia maharage na ukaivisha bado naendelea kuutengeneza mwngne kwa majaribio nikiridhika ntapeleka kwny soko kwa majaribio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.