Ni kweli kabisa, labda nusu yake, Lowwsa ameleta hamasa ya ajabu ukawa. Na hata kuna majimbo ambayo imechukua decades kuyachukua kama monduli na longido
Aliyeazisha mada anajifurahisha, na inaonekana si mkaazi wa arusha. Katika majimbo ambayo hata chadema isipopiga campaign itashinda ni arusha. Ccm hawana chao huku
well said, there is no way we can be proud for something helpless to common mwananchi except for few minority. watanzania hatudanganyiki tena na sifa za kijinga. the same people were proposing reducing ter
minal benefits to their members, i guess due to current political situation they decided...
akili zako zinakutosha mwenyewe. Hizo sera kila mwaka zinasomwa na ni tamu kama k.... Ila nani anazitekeleza. Watanzania hatuhitaji kuambiwa habari ya sera kwa sasa, tumechoka, tunahitaji kujua issues zitatekelezwa vipi, na jana alichofafanua pro. Baregu ni namna ya kutekeleza sera za elimu bure...
Kama magufuli si mnafiki angeaza na kikwete na mtoto wake. Pia angetuletea report ya stanbic kwa ile account ya escrow. Akiweza hapo ndo tutajua amejitoa muhanga kupambana na ufisadi. Otherwise ni blabla zilezile tulozoea
Hivi kazi ya mufti wa tz ni nini. Mara nyingi huwa namsikia akihamasisha amani na kutangaza kuandama kwa mwezi, while shule za bakwata zikiwa zinaongoza mkiani kwa performance.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.