Sumaye anaeleweka kwa wenye akili za kufikiria nje ya boksi! Hawezi kumwelewa,kwa nini,kwa sababu,kasoma uchumi chuo kikuu,bado haielewi kwa nini Tz ni maskini,Kawa rais kwa miaka 10 bado hajui kwa nini Tz ni maskini. Hawezi kumwelewa Sumaye
Pinda hana uwezo wa kutafakari akibanwa ndio maana matokeo yake ni kuropoka tu kauli zinazogharimu maisha ya watz kinyume na katiba. Piga tu,liwalo na liwe moja ya kauli zake uliona na unaona madhara yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.