We unaijua Arusha ama unaiskia?? Wafanyabiashara hapa walikuwa hawataki kulipa service levy, Wana malimbikizo makubwa ya NYUMA na Sasa huyu mkurugenzi amekuja kuisimamia SHERIA na kukusanya fedha za serikali, wafanyabiashara hawataki... Wanamuundia zengwe hivyo.. sababu tu ya kuisimamia mapato...
Hivi karibuni nchini kwetu pamekuwa na utoaji wa maoni kwa uhuru, jambo ambalo ni zuri, lakini sasa uhuru huu umeanza kutumika vibaya, hali ambayo haikubaliki kamwe.
Ndugu zangu, Taifa lolote ambalo wananchi wake hawana nidhamu, heshma wala utii kwa mamlaka ambazo zipo madarakani kiuhalali...
Nina uhakika Makonda atasimamia haki, hapa Arusha Pana dhuluma kubwa sana na mara nyingine dhulma husimamiwa na viongozi waandamiz.
Natarajia Makonda atadhibiti maadili Ili kuokoa nguvu kazi. Wadudu wanavuta sana bange, skanka na kunywa mapombe hovyo.
Makonda atadhiniti waizi na upuuzi wa toyo...
Kwani wakati January na Chande wakisema maji yapunguzwe mitambo yote ilikuwa imewashwa??? Mlimwonea January sana na kutaka kumchafua kisiasa kwa maswala haya na mengine... Sasa zigo Hilo hapo akawaachia, pambaneni nalo
Shabibu habit hela zako hata hazinufaishi huku nje, wanawake wenyewe unapenda hao hao wanasiasa mwee wenye mahela yao, umezaa na kaserina kwanini usingezaa na kina mwajuma ndala ndwefu huku manzese hela hata ikasambaa huku mitaan. Mazese tukapata kamwarabu cha gairo. Shabibu hata videmu vya...
Asanteee. Thank you dada. Hayo ndio tunayoyategemea kutoka kwake. Pia utalii na usafi wa jiji.
Arusha mjini DC wake bado hajielewi, anadhan yeye bado ni afsa tarafa. Kaz yake anawakinda watendaji wa kata na mitaa wale wazembe na wenzie sababu ni marafiki zake. Sijui kwanini serikali haioni na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.