Search results

  1. wlfwilley

    Juma Nkamia: JamiiForums inachafua na kuwagawa Watanzania

    mimi nadhani kuna wau wanakosa ya kusema, mmoja wao akiwa huyu bwana Juma Nkamia. hajui kuwa jamii forums ndio imekuwa chanzo mahususi cha habari kwa sasa? zaidi, watu hawataki habari ambazo zimepunguzwa baadhi ya vitu na fulani na fulani viondolewe, wakati mwingine waamue ni nini cha kusikika...
  2. wlfwilley

    Dr Dau, NSSF, madaktari bingwa wa moyo Muhimbili-"hongereni" kwa kifo cha DR MASAU

    kwa kweli penye miti hukosa wajenzi. Daktari huyu alijitoa kwa moyo wake wote na kutaka kufanya mapinduzi ya kitabibu kwa kuwasaidia watanzania sisi maskini kupata tiba ambazo mpaka kesho wengi wetu tunakufa kwa kushindwa kupata nauli na malipo India. sifahamu ni kwa nini hasa waliamua kumuondoa...
  3. wlfwilley

    Dr Dau, NSSF, madaktari bingwa wa moyo Muhimbili-"hongereni" kwa kifo cha DR MASAU

    kwa kweli penye miti hukosa wajenzi. Daktari huyu alijitoa kwa moyo wake wote na kutaka kufanya mapinduzi ya kitabibu kwa kuwasaidia watanzania sisi maskini kupata tiba ambazo mpaka kesho wengi wetu tunakufa kwa kushindwa kupata nauli na malipo India. sifahamu ni kwa nini hasa waliamua kumuondoa...
  4. wlfwilley

    Story behind your date of birth

    i have to admit, at first, i thought the article will have no truth at all. after reading, i came to see some issues that make change my mind about the article, and i am now going to share it with my friends that they see what i saw in this article. thank you for sharing, it looks like someone...
  5. wlfwilley

    Anyefahamu ku-unlock ideos

    Wadau, nani anafahamu namna ya ku-unlock huawei ideos? Unaweza kunisaidia?
  6. wlfwilley

    CHADEMA kusambaratika ndani ya mwaka mmoja ujao - Wassira

    Hii ndio ile tunasema "mambo ya kiganga" Kwanini asiseme CCM itabomoka kwa kuwa na lundo la vikundi? Mi nafikiri mkubwa kachemka bigtime..
  7. wlfwilley

    Serikali kuifumua Tanesco - Bei ya Umeme Haitapanda.

    Nafikiri ni mwanzo mzuri, hata ivyo bei ya umeme bado ipo juu sana ukilinganisha na ugumu na gharama za maisha. Ninachoona ni kwamba, kwa kupunguza bei ya umeme kutasaidia gharama ya bidhaa nyingi zinazotegemea umeme kwa uzalishaji ama uaindikaji zitapungua bei. Zaidi, ya nishati kwa ujumla...
  8. wlfwilley

    mambo muhimu katika katiba mpya ni matano !

    Mambo uliyosema ni ya msingi, ila pa kusemea ni huko wanapokusanya maoni ya katiba mpya. Kimsingi kama utayasema kule na hayatawekwa basi jamaa hawafanyi kazi inayotakiwa.
  9. wlfwilley

    Kwa hili ndugu yetu kafariki tunafichwa ama ndo utaratibu

    Usiwe na wasiwasi wakati mwingine mgonjwa anahitaji kupumzika hata hivyo, hospitali zina taratibu zake hivyo usiwe na wasiwasi sana, atakuwa salama kama wao wamewaambia hivyo. Na kama kungekuwa na kitu cha nyie kuwa na wasiwasi juu yake basi mngeambiwa..
  10. wlfwilley

    Hiki chuo ni cha ngapi kwa ubora?

    Nina wasiwasi na UDOM kuwa juu ya Mzumbe. Ni sifa zipi zilitumika kuwashindanisha.. Mara nyingi sifa zinazotumika ni kama zifuatazo: Number of publication Number sited documents Number of reseach done Quality and employability of the students Na nyingine nyingi.. Sasa sioni ni kwanini UDOM iwe...
  11. wlfwilley

    Polisi Znz: Muungano ukivunjika tutalipwa na nani?

    Hizi data unatupa umefanya lini utafiti? Na baada ya utafiti wako, ripoti iko wapi? Wakati mwingine tuache ushabiki, sio kwa kuwa wewe huutaki muungano basi vijana kwa kiwango hicho ulichotaja nao hawataki muungano!!
  12. wlfwilley

    NSSF Ianze kutoa gawio la faida kwa wanachama?

    Mimi nafikiri hukutakiwa kumshambulia alietoa mjadala, nadhani kataja NSFF pengine kwa kuwa michango yake inakusanywa na NSFF. Wakati mwingine muwe mnawasikiliza wateja na sio kuwashambulia kwa hoja nyingine, wewe jibu kwa hoja na sio kuleta mambo mengine. Kwa ufupi ni kwamba mchangiaji...
  13. wlfwilley

    Lawrence Mafuru, NBC's MD cleared of charges, recalled

    duh, hii kali ila ndio nchi yetu ilivyo tuzoee tu!!
  14. wlfwilley

    Trick ya voda free net kwa Android phones

    kwa kufanya hivyo utakuwa unapata internet free ama unapata facebook,com free?
  15. wlfwilley

    Sijazibwa Mdomo - Dr Ulimboka

    Huyu jamaa asitutanie, alitupa siku arobaini na hajafanya chochote. Kuna ninibcha kufikiria ama anawaza cha kusema, ameshasahau alichofanyiwa hadi akae na kufijiria cha kusema?
  16. wlfwilley

    Sumaye amgwaya Lowassa!

    kwa kisema hivi anamaanisha Mary Nagu katoa rushwa.
  17. wlfwilley

    nani wa kulaumiwa, wananchi ama serikali?

    wakati mwingi tunapopata matatizo tunahangaika kutafuta ni nani wa kumlaumu labda ni serikali ama raia wa nchi kwa kufanya kisicho sahihi mpaka tatizo fulani kutokea. naweza kutoa mifano kadhaa na sisi wanajamii tukazungumzia na kuona ni nani hasa anaistahili lawama husika. kwanza, janga la...
  18. wlfwilley

    Semina elekezi online - decision making process and model

    thank you for sharing such a wonderful and helpful information, surely, if most of us follow our instinct in decisions making we will be somewhere but if we follow some of defined ways of making decision we will be in a place/position that we wanted to be. i second you when you said most of...
  19. wlfwilley

    Utapeli wa chuo kikuu cha dar -es salaam {udsm}

    kazi ipo, hii nchi inakosa ungalizi kkisi kwamba mtu unajiamulia kufanya maamuzi ambayo yanaathiri maisha ya mtu moja kwa moja na hakuna anasema kitu? nafikiri kuna haja ya haya mambo kuangaliwa vema na vyombo husika..
  20. wlfwilley

    Kuna mgomo wa wauza mafuta?

    mafuta yanapatikana katika baadhi ya vituo, mfano BP kuna mafuta ila tatizo ni foleni ndefu sana. ukiangalia kwa vituo ambavyo wanaingiza mafuta wenyewe tunategemea wawe na mafuta ila kwa wale wanaonunua kwa hawa wanaoingiza mafutan kwa kweli wana haki ya kutouza maana wao wanategemea bei...
Back
Top Bottom