Habari Wajumbe,
Mwaka huu umekua ni mwaka wa uchaguzi katika taifa letu la Tanzani,ila imeonekana wazi chama cha mapinduzi kimekosa mvuto mbele ya watanzani mpaka imefikia wakati wanatumia nguvu kubwa kujitangaza kwenye mabango,redio na television.
Kila mahali yametapakaa mabango mpaka...
Wanafunzi waliohitimu darasa la 12 (Kidato cha Sita) katika jiji la Hawassa nchini Ethiopia, wakivua sare zao za shule ili zikatolewe misaada kwa wanafunzi wasio na uwezo wa kununua sare.
Habari zenu Wanajamvi?
Natumai ni wazima wa afya niende moja kwa moja kwenye ujumbe ulionipelekea kufungua thread hii.Kutokana na ongezeko la shughuli za ujasiliamali mfano kilimo na ufugaji ardhi imekua ni nyenzo muhimu katika kuwezesha ufanisi katika shughuli hizo.
Napenda kuwataarifu wadau...
President Robert Mugabe funn..
A speech by Zimbabwean President Robert Mugabe:
"Racism will never end as long as white cars are still using black tyres. Racism will never end if people still use black to symbolise bad luck and white for peace. Racism will never end if people still wear white...
Habari zenu Wanajamvi?
Natumai ni wazima wa afya niende moja kwa moja kwenye ujumbe ulionipelekea kufungua thread hii.Kutokana na ongezeko la shughuli za ujasiliamali mfano kilimo na ufugaji ardhi imekua ni nyenzo muhimu katika kuwezesha ufanisi katika shughuli hizo.
Napenda kuwataarifu wadau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.