Mimi ni fundi mtu alinipa kazi mbili zinafanyika kwa wakati mmoja na wakati kaz zote zinaendelea akasimamisha moja na kusema tu.
malize mojawapo na tulipomaliza akasema ananisimamisha kazi na ela yangu ataki kulipa akisema nimechelewesha kaz ambayo awali alisema tusimamishe naweza kupata msaada...
Unajua wahenga walisema sikio la kufa alisikii dawa ndivyo hawa ndugu zetu wa chama cha majambazi (ccm) wanataka watu wanao wachukia wawe weng ndio wataelewa kuwa mwisho wa henz umefika.hawana nia njema na katiba sababu kama nia yao ni nzuri wasingelikuwa wAshambulia kila mwenye mawauZo tofauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.