Kumbe hizo tuzo anakusanya Diamond ni kwa mgongo wa Davido. Ina maana hakuna hata wimbo alioimba peke yake ambao umekuwa nominated.
Ngoja niachie hapa wazee wa data waanze kuzishusha kuona kama kweli anabebwa na Davido au lah.
Kama huna data potezea
Huwa najiuliza na kuwaza sana. Hivi huu utaratibu wa kubeba marehemu kwenye pick ups (magari) kama mizogo utaisha lini? Kwani serikali haiwezi kufanya utaratibu wa kuwa na magari maalum ya kubeba marehemu? Najaribu kuwaza tu....naamini wakati umefika wa kuanza kuheshimu marehemu wetu. Nawakilisha
Na Nyaronyo Mwita Kicheere
Mambo mengi yamefanyika nchi hii nikayapuuzia lakini hili la juzi limezidi kipimo nami siwezi kulivumilia kwa hiyo nitajinyonga tu ili kuondoa udhia.
Siko tayari kuendelea kutazama upuuzi huu, ushenzi huu, upumbavu huu, uhuni huu, uhayawani huu...
Great thinkers, nimechoshwa na hizi tabia za polisi kujichukulia sheria mikononi kama hatuna mahakama. Imekuwa ni kitu cha kawaida kusikia jambazi sugu limeuawa na polisi au polisi wameua wamajambazi. Sisi raia tumebaki kushangilia. Ikumbukwe kuwa hata kuua mtu kuna taratibu zake...na hizo...
Alitumia nguvu zote kumharibia Sugu,alitelekeza familia yake Ilomba Mbeya kwenye kibanda cha mbavu za mbwa.
Alishindwa kusimamia miradi ya maendeleo akaamua kununua timu badala ya kusaidia miradi ya maendeleo.
Aliendesha Jiji kwa majungu.
HATIMAYE WAZIRI WA TAMISEMI KAMFUNGASHIA VIRAGO. HILI...
Kwa muda mrefu baadhi ya wananchi na baadhi ya waandishi wa habari wenyewe wamekuwa wakiwatafuta maadui zao. Kutokana na hali hiyo mtandao huu wa ww.kalulunga.blogspot.com umeamua kuanika maadui watatu wa wanataaluma hao.
Maadui hao ni
1. Njaa; kwasababu wengi wao hawajaajiriwa na hawana...
* Mkandarasi aliyeboronga ujenzi wa barabara za lami mitaa ya Jiji hilo aachishwa kazi bila kuchukuliwa hatua, akabidhiwa kazi mkandarasi mwingine.
* Uchafu wazidi kila kona ya Jiji, Halmashauri yakwama kutengeneza magari kwa kipuli cha Shilingi Laki moja na elfu hamsini!
*Ili kuwazima...
Sunday, July 8, 2012SAKATA LA WATUMISHI WASIO NA SIFA JIJI LA MBEYA KUPANDISHWA VYEO LASABABISHA MAKUBWA
SAKATA la baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya kupandishwa vyeo pasipokuwa na sifa, limechukua sura mpya ambapo aliyekuwa afisa utumishi wa Jiji hilo aliyejulikana kwa jina la...
Kwa wale wanaojua sheria za kazi. Mimi ni mtumishi katika moja ya kampuni binafsi jijini Dar. Mwezi ulopita nilimjibu vibaya bosi wangu wa kitengo (idara). Siku saba baadaye akaniandikia barua ya kutaka nitoe maelezo kwanini nilimjibu vibaya. Wakati nipokea barua hiyo yaani ndani ya masaa matatu...
When a woman dies,God asks the angels,'Was she married?'If the answer is 'Yes', he says,'Angel Micheal,take her to heaven,she has already been through hell!
Wapendwa wana wa JF, napenda kuungana nanyi katika kusherehekea miaka 3 ya ndoa na miaka 11 ya mahusiano na my wife wangu. Ni jambo dhahiri kuwa kufikia hapa tumevuka milima na mabonde mengi lakini kila wakati sala imekuwa ndo nguzo yetu. mungu ameijalia ndoa yetu watoto waiwili wa kiume na...
Kila ninapoangalia vikao vya Bunge vinavyoendelea naishia kumbuka Baba mpendwa Mh. Sitta alivyokuwa mahiri katika kuungoza mhimili muhimu wa nchi. Kwangu mimi alikuwa baba mwenye kuijua vizuri familia yake (bunge) na wakati wote alitenda bila kuangalia kuwa huyu ni mtoto wa nyumba kubwa au...
Lile sakata la kesi ya rushwa iliyokuwa inamkabili Fredrick Mwakalebela mahakama ya mkoa Iringa, limehitimishwa leo baada ya Mwakalebela kumshinda tena mwanasheria wa TAKUKURU mahakamani.
Kesi hiyo ilirudishwatena mahakamani baada ya Bwana Imani Mizizi (TAKUKURU) kupinga hukumu iliyotelewa...
Salam ndugu wanaJF,
Nina tambua kuwa maandalizi ya weekend yashapamba moto kwa serious issue ni vigumu kuzijadili.
Kinachonisumbua ni kuona kuwa watanzania wenzangu kukosa ule uthamini kwa taifa lao.
Mwaka huu nchi yetu inatimiza miaka 50 lakini mpaka sasa sijaona jitihada za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.