kwa kifupi sijaona hata hiyo zawadi au imefichwa? manake naomna manyama tu ya akina dada sasa sijui ndo zawadi yenyewe au vip. acheni kuiga ujinga fateni tamaduni zenu.
Kwani kuna haja gani ya kuogopa umeeenda kusoma au kucheza? we zingatia masomo yako mbona hapa ubalozi wa marekani mwaka ule uliungua inamaana wageni waliokuwa wanasoma Tanzania walirudi makwao? acha hizo kaka kaza msuli na shule uraiani kugumu kaka
we usiogope hayo mambo ya kawaida tu cha msingi kaka zingatia masomo hayo mengine ni matokeo bwana ndio maana biblia na misahafu inasema kila kitu kitaonja umauti lakini Mungu yupo atakuepusha na yote hayo. :hungry:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.