habari wana jf,
kuna rafiki yangu ameomba nimuulizie ili swali.
1. Yeye ameolewa kwa ndoa ya bomani mume wake ni mwiisilam, wana watoto wawili. Tangu waishi na mumewe takribani miaka mitatu, yeye ndiye anatunza familia kwanzia chakula mpaka ada za shule, watoto wako nursery.
mume wake...
habari zenu,
ninaomba msaada wa kisheria
* kwa mfano umeolewa ukamkuta mwanamume na nyumba aliyoridhi kwa mzazi wake .
kama kiwanja ni kikubwa ukijenga nyumba nyingine ni kosa? . Je utakuwa na haki huko baadaye
asante sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.