Habari zenu wakuu?
Mimi natumia king'amuzi cha Easytv
Leo asubuhi nilikuwa najiandaa kuangalia bunge la katiba, ghafla tu na shangaa signal imepotea hadi mda huu ijarudi, channel nazopata ni za startimes tu ambazo ni za kuchakachua.
Je ilitatizo ni kwangu tu au ni kwa watumiaji wote wa...
Habari wa kuu? nilikuwa nauliza kama kuna uwezekano wa ku-connect modem mbili za huawei @ the same time? najua hii kitu inawezekana kwa ZTE na Huawei ... Hii ya 2 huawei modems nimejaribu imeshindikana kutokana na kuingiliana kwa driver....
Ningependa kujua toka kwa wengine kama upo uwezekano...
Wakuu teknolojia inazidi kushika kasi, wengi wetu tumezoea kushare mafile kwa njia ya ku-uploud kwenye mitandao mbali mbali kama Mediafire 4shared kushare kwa njia hii inakulazima kutumia mda mwingi hasa kama mtandao wako uko slow na kutegemeana na ukubwa wa file lenyewe.
pia tumezoea...
Habari wakuu, Mimi ni mfuatiliaji wa tamthilia ya A woman of Steel (Soy tu Duena), Kutokana na mambo ya digital nimekwama kuweza kuifuatilia. Hivyo naomba mwenye kujua namna ya kuipata online in English version nitashukuru sana
Habari wana JF Kheri ya mwaka mpya
Siku za hivi karibuni nimekubwa na hali ambayo sijaweza kuielewa kama ni ugonjwa au la, ni kwamba kila niamkapo asubuhi au mda wowote kama nilikuwa nimelala, na kuwa siwezi kushika kitu chochote kwa dakika kama 5 hivi,viganja vya mikono vinakuwa havina nguvu...
Ndugu Watanzania mimi nilisikitishwa sana na Kauli za Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda kuwa Sera ya Serekali ya CCM ni kupita katika majimbo ya Wapinzani na hata majimbo yao kuhakikisha wanashinda katika uchaguzi Mwaka 2015. Kauli hii inamaanisha kwamba:
*-Sera ya...
Habari wakuu nina blackberry 9630, 9650 na 8830WE toka kampuni ya Verizon zinanipa taabu sana kuweka salio na kuangalia salio, haziku bali kwa kupiga *104* au *102# zina kuwa kama vile unapiga namba ya simu kwa njia ya kawaida hivyo nalazimika kuweka salio kwa njia ya sauti,
Hivi...
IntroductionThe cost of internet has been dropping dramatically in East Africa, since even before the advent of the undersea fibre-optic cables which came in 2011. There are now a lot of options for visitors and residents; this article focusses on the costs of access for mobile access via the...
Mimi ni mtumiaji mzuri wa huduma za tigo hasa huduma ya internet , nimekuwa mtumiaji wa package ya standard month tsh 40,000/- (kabla hawajabadilsha bei )kwa takribani miezi 8 hivi hadi walipo badilisha mashart na kutoa 4gb only, nikahamia max month kutokana na matumizi yangu kuwa juu nikaona...
http://41.59.13.185:88/broadwave.asx?src=1&rate=0
tumia link hii (hapo juu) kusikiliza maubiri ya mwalimu Christopher Mwakasege live, kila siku kuanzia saa 4:30 jioni hadi saa moja usiku. mbarikiwe sana wapendwa!
TAARIFA ambazo zimethibitishwa na katibu wa CDM mkoa wa Mwanza Willson Mshumbusi ni kuwa Mkurugenzi wa taifa wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) Wilfred Rwakatare amelazwa hosipitali ya rufaa ya Bugado wadi namba J-2 chumba namba J217, baada ya kuzidiwa akiwa...
"Nikiwa bungeni Dodoma nimefuatilia kupitia vyombo vya habari mdahalo wa katiba ambao umefanyika Ubungo Plaza. Natoa salamu za mshikamano na pongezi kwa waandaaji, watoa mada na washiriki wa mdahalo huu wenye kuchangia katika mjadala wa katiba mpya.
Kupitia kongamano hilo maoni mbalimbali...
Hizi Dashboar ziko mbili tofauti, ipo ya Huawei kwa modem zote za Huawei, download dashboard
For all other Huawei dongles on Windows XP, Vista and 7 Download hapa here
Pia ipo ya ZTE ambayo ni maalumu kwa modem za ZTE tu.
For For all other...
Haya mliokuwa mkibisha tizameni speed nayoipata ni 2.81mbps.
hapa imeshuka hadi 2.50mbps.
Hapa imeshuka tena hadi 2.42mbps, ambako haishuki shini zaidi ya hapa iwe asabuhi au usiku speed inakuwa hivi hivi.
Hii ni IP Adress ya tiGO ....
Hapa nilikuwa napima speed nayoipata wakati na...
Taarifa ambazo zimethibitishwa na kamanda wa polisi mkoa Simon Sirro,
zinadai jeshi hilo linawashikilia watu sita ikiwa ni pamoja na mjumbe
wa kamati ya siasa wa CCM Mkoa Ellen Bogohe wakidaiwa kuhusika na
kupanga njama za kumuua aliyekuwa mbunge wa Busega Dk. Raphael
Chegeni. Inadaiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.