Dah! Jamaa me na mkubali sana, hapa kwenyewe nilikuwa na googled wimbo wake wa mng'aro wa silver nikakutana na thread hii. Katika wasanii wenye sauti nzuri na wanaojua kuzitumia na huyu jamaa, japo amefulia ila ukimsikiliza kwenye wimbo wa usikate tamaa ya kala Jeremiah utakubali bado yupo vizuri
Haina primking unajua nilimnunulia wife bila kuifanyia utafiti hata kidogo, ni bora ningemnunulia hata Vodafone smart4 kwani ina 3G na uwezo sawa na hii star plus sema tu kwa ubora samsung wako juu ila kwa hii simu wamechemka vibaya sana yaani
Ni kweli smartphone za vodafone zina punguzo la 55% toka tsh 220,000 hadi 100,000... Ila sio simu zote zina punguzo la 55% nyingine ni punguzo la 5% na kuendelea hadi 50%
Nimemchukulia wife Samsung gallaxy star plus kwa tsh 175,000 na iko poa kabisa, sema ndio simu ya kijinga ambayo imewahi...
Mfumo huo unaitwa CISS (Continuous ink system supply) ni mzuri sana na gharama yake ni nafuu, tatizo kupata hayo matank yake ndio kazi kwani bei yake iko juu ukiongezea pesa kidogo tu unanua priter nyingine..
Ila ukifanikiwa kuyapata ni mazuri na utapata faida kubwa sana kama unawateja wakutosha.
Yaani nikiwaza nilitoa tsh 140,000 kununua huu upuuzi naumia sana kwanza chanel za maana zote siku hizi hamna ni michannel ya kihindi tu na kiarabu.
hivi lambalamba kwa mwezi unalipia bei gani?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Habari zenu wakuu?
Mimi natumia king'amuzi cha Easytv
Leo asubuhi nilikuwa najiandaa kuangalia bunge la katiba, ghafla tu na shangaa signal imepotea hadi mda huu ijarudi, channel nazopata ni za startimes tu ambazo ni za kuchakachua.
Je ilitatizo ni kwangu tu au ni kwa watumiaji wote wa...
Mimi nimekwenda kwa wakala wao akaniambia kuwa amewasiliana nao wakamwambia kuwa channel hizo labda zinaweza kurudi baada ya wiki moja. Neno "labda" limenikatisha tamaa kabisa.
Ilikuwa hivi hivi ilipopotea hewani Startv. Kama ukipata mda ebu pitia kwa ofisi zao utuletee majibu ya kueleweka
Mkuu, nimefarijika sana na ulivyo malizia comment yako, nimepata nguvu, mwanzo niliumia sana na maandishi yako ya mwanzo kwenye thread hii... Mungu wetu ni mwema sana, tuna paswa kumshukuru na kumsifu wakati wote ule, iwe kwa furaha au shida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.