Mlioolewa punguzeni vidomo domo, punguzeni kuwa ma-monitor kila mara uko wapi, leo nilikupigia kwa nini hukupokea, mbona unachelewa kutoka kazini wenzio wanawahi kurudi.....
Inafuatana na mambo kadhaa
1. Aina ya mke atakayekuwa naye (kuku wa kisasa au wa kienyeji)
2. Ulimpata kutoka kwa mke wa ndoa au single mother
3. Anakumbuka mazuri uliyomfanyia au ndo wale wanaoimba "bora nimpende mama yangu"
Nimeenda ku-renew line nikaambiwa siku hizi hiyo huduma ni changamoto hakuna connection na NIDA. Naweza kuachana nayo japo kuna salio kwenye Airtel money
Wanawake wanavimba wakiona baba anatembeza bakora. Ukimwogopa mke wako akaanza kuwa msemaji mkuu wa familia ujue watoto wataharibika.
La pili ni hizi English medium sijui international. Zimeharibu watoto na kiukweli wife material na husband materials tutakuwa tunaagiza mikoani.
Acha watwangane tumezoea kuonyeshwa migogoro ya Sudani, Kongo, Afrika ya Kati, Afrika Magharibi n.k. Sasa Al-Jazeera, CNN na BBC wamehamishia makamera Urusi na Israel.
Wakati unatuhabarisha hivyo usisahau kwamba mhasibu unaweza kumpa kazi na akagoma kuachia muamala kama vigezo vya kihasibu havijazingatiwa. Mtu akishakuwa Waziri Mkuu anawajibika kiserikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.