Mchagua kazi hufa masikini,pesa unayoipata kwa taabu ndio itayokufanikishia mambo yako,epuka kuajiriwa,acha kulalamika wawekezaji wanafanya kazi zinazoweza fanywa na watanzania,wakati mkizipewa mnasema maslai madogo.wakati bajeti yako unataka uishi jumba la maana,msosi wa 3000,bia 3,ukodi...
Ni haki ya Kila mtu kuuza mali yake mwenyewe kwani hakuna mwenye mlitafuta nae,
huruhusiwi kumuuza mtu.
mwache ajiuze.
Vipimo vitafanyika kwa uko mzima kuepusha genesis za maradhi ya kurithi na laana.
Masharti:
1.usiwe na magonjwa yoyote.
2.ukoo wenu asipatikane...
Hivi hawa wanaotoa elimu ya ujasiriamali wanautajiri kiasi gani?
na hawa wanaosema kilimo kinalipa tena mpaka wanatoa gharama zake na faida wao nao wana utajiri kiasi gani toka waanze.
ASante
Habari Wadau,
Nauza Blogger Template niliyoitengeneza Mimi mwenyewe Kwa ajili ya online Shopping,
Template hii nimeitengeneza kwa SimpleCart ikisupport Fedha za Kitanzania,pia inatuma invoice bure unlimeted.iwapo mnuaji atachagua bidhaa atazohitaji mfumo wake utazikusanya bidhaa zote Kisha...
Habari wadau,
Kwa wale wafanyabiashara wa vifaa vya Simu(mobile accessories) vya aina zote pamoja na simu kwa bei ya Jumla(wholesale/bulk) Karibuni hapa. jumlasupply bidhaa na bei zipo
Kumekua naongezeko kubwa la kodi zinazotozwa na serikali dhidi ya watanzania, hali hii imesababisha wanaichi kuwa katika kipindi kigumu cha maisha na huku ongezeko la mfumuko wa bei likiongezeka hali inayopelekea baadhi ya viongozi kila mmoja kwa sababu zake binafsi amaa kipimo cha akili...
Najua sio Rahisi kukuona raisi Magufuli,Lakini Najivunia kua mtanzania.
Barua inatoka kijiji cha mbali kisicho na hadhi lakini bado tunafurahia kua Watanzania.
Barua Tumeituma na baiskeli hatujui lini utaipata,tunakusikia Kwenye redio,tunatamani kukuona rais magufuli,tukueleze yanayotusonga...
For Education Purpose.
Zima King'amuzi.
Bonyeza OK botton katika King'amuzi
Kisha washaa kwa kutumia remote.
subiri iwake....
kisha zima kwa power botton iliyopo katika king'amuzi.
baada ya kuzima
bonyeza botton power katika remote mara 5
ita andika OTA kisha menu
sellect Modulations
chagua...
Kutokana na hali ya soko la ajira nchini kumekua na ubaguzi wa kijinsia katika soko la ajira huku wengine wakisisitiza jinsia fulani ndio wanahitajika pekee pasipo kuangalia Elimu,Sifa na Uzoefu.
Inaaminika Wanawake hasa warembo wasio na sifa ama Elimu wana nafasi Kubwa zaidi katika Kupata...
Naitwa Regnald Shirima nina umri wa miaka 24,ni mchapa kazi mwenye nidhamu,ninaejituma na mbunifu katika kazi.ni mwepesi kujifunza binafsi ama kwa kufuata maelekezo.
Mawasiliano:
+255758489123
regnaldshirima@gmail.com.
Moshi - Kilimanjaro
Elimu:
kidato cha nne
Basic & computer Maintenace...
Nauza hp pavilion dv7 core i7 laptop haina tatizo lolote wala mikwaruzo
Ram 4GB
Processor 1.3ghz Quard-core i7
Graphic memory 3.5GB
Inasupport harddisk mbili iliyo nayo lwasasa ni 500GB
Super LED display 17.3inches
Chaji massa 3:50
Dvd rom with light-scribe burn and print
Bei maelewano...
Habari wana jamii...
Sikuweza kusomea masuala ya biashara kutokana umaskin wa familia. Na ningependa kwa anaefahamu masuala ya kusimamia biashara nini kinatakiwa napenda niwezeze isimamia biashara katika ubora unaostahili
Habari wanajamii nipo na simu yangu na iuza ni samsung galaxy A3 original.. nimeitumia siku kumi na mbili pekee nimeiuza kutokana na kupata ingine kubwa galaxy A7
Bei laki 5 maelewano yapo
0758489123
Money back garranty
Samsung Galaxy A3 (SM-A300H)
Display: Super AMOLED 4.5inches...
Licha ya mipira ya ngono aina ya Salama kupigwa marufuku humu nchini kwa kuibua tashwishi kuhusu ubora wake, bado bidhaa hiyo ingali katika baadhi ya maduka. Shirika la kiafya la PSI lilitoa tangazo rasmi kwenye jarida moja la humu nchini kwamba mipira hiyo haifai kuuzwa humu nchini ila nchi ya...
Habari,
Bicmark Trading Inakukaribisha Katika Maduka yake ya Jumla na Rejareja Pia Katika blog yetu ya bicmarkshops - Official Bicmark Trading Products Mag katika Msimu huu wa Sabasaba Tukiwa na punguzo kubwa la bei la bidhaa zetu za jumla kama vile
>vifaa vya Simu
>Bettry Original na za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.