yechu yechu dingii,lichuga tunabofonga maslang yetu,hao mashori wa dar wakituletea lomoni ,tunawapa mabam bam, majabal na mabeto alaf tunawadownload mamanegram .haina noma arif mim nakula fasi ya coment g g ya. Limoro
usamehewe hata shetani hajawai kosoa uumbaji wa Mungu....kazi zake hazina makosa. laiti macho ya mwanadamu yangefunguliwa kwa dakika moja tu viumbe ambavyo ungeviona sijui kama sekunde 15 ungemaliza ukiwa hai
haimaanishi kumkamata mpigania Taifa lake kutarudisha nyuma nia yake au kuwatia hofu wengine. wakina mandela walifungwa sababu hiyo,wapo machifu waliopigania uhuru wa taifa lao wengi waliuwawa wengi walichinjwa lengo na azma likatimia.upo mmoja mbele lakini nyuma tupo Milioni. najivunia kua...
Mchagua kazi hufa masikini,pesa unayoipata kwa taabu ndio itayokufanikishia mambo yako,epuka kuajiriwa,acha kulalamika wawekezaji wanafanya kazi zinazoweza fanywa na watanzania,wakati mkizipewa mnasema maslai madogo.wakati bajeti yako unataka uishi jumba la maana,msosi wa 3000,bia 3,ukodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.