Mimi niko mombasa; kwa sasa napata local channels kwenye Intelsat 906 @64.2E Pia napata channels zote za Intelsat 7/10 @68.5E. Hapa kwa intel 7/10, nilieka LNB mbili C @ Ku band. C band nilipata 6 channels na Ku band nilipata 75 channels. hivyo nipo na lnb tatu kwa dish moja na zina work vizuri...
Habari wadau!!! Leo nimejaribu kutafuta Yahsat 1A @52.5 East, kutumia dish ya 6ft lakini kwa bahati mbaya sikufaulu.Frequence zenye nimetumia ni hizi(11900H27500) (11938H27500) (11766V27500) Iwapo shida ni frequence naomba mnijulishe maana nimekwama kabisaaa!
Aljazira nilipata signal ya juu {85-90}. kwakuwa rcva yangu haina blind scann,Nilieka tp manual na nikapata channels zaid ya 20 lakini sita pekee ndio zinafanya na hizo zingine zote zina symbol ya($) na ukijaribu kuplay hazifanyi
Ndungu Arselona mimi bado sija saidika bado, sinaujusi wakutosha lakini baada ya kupitia baadhi ya maelekekezo yako, nimefunga dishi la ft6 na nikapata channels 9za bongo katika intelsate 906,vilevile niliweza pia kukata ringi ya LNB alafu nikaeka LNB ya pili. Lengo hasaa nikupata channels kama...
Naomba usaidizi, nipo na dish ya ft6 na receiver ya astrovox vsr-260, nilifunga vizuri na kwasasa hivi nimepata channels za bongo. Ningependa kufunga LNB ya pili ya ku band ndio nipate channels zingine kama aljazira, Je itawezekana? na kama inawezekana nitaifunga vipi na frequence nizipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.