Chanzo kikubwa cha awali ni Nyerere, alikataa kuujenga mji huo kutokana na idadi kubwa ya wakazi wa nji huo walikuwa jamii na din fulani, hii ingemletea upinzani mkubwa kwake kwa hofu , hili pia lilipelekea yeye kuchukua kuunganisha kisiwa cha Zanzibar.... Nje ya mada.. Ikikupendeza fafanua...
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife... Acha utoto.
Badilisha ratiba yako hasa ya kurudi nyumbani hakikisha unachelewa, ikitokea umewahi nyumbani ondoka mida mibaya na uchelewe kurudi. Usimuombe tendo. Zoezi hili fanya kwa mwezi mzima uone kama atajihisi...
Hiki chakula kinatolewa kwa watoto wenye malnutrition hakika ni msaada mkubwa sana, ila kwasasa hapa bongo hazipatikani kiurahisi kwasababu zilikuja kwa ufadhili, nguvu kubwa imepelekwa sudan, congo na somalia.
Ni bora kuchelewa hata akichukia potelea mbali, kuliko kuwahi kila siku, tabia ya kuwahi ataigeuza kuwa sheria na wewe unageuka kuwa mfungwa nyumbani kwako. Mbususu zenyewe za ratiba ni bora uchelewe uepushe migogoro
Kuna malaya nilimkuta sehemu, yule demu ni mzuri sana, ikabidi nimtoe eneo la biashara nimpeleke lodge, huko napo nikagundua ni mzuri wa nje hadi ndani, nilitamani nioe kabisa... Mungu akanipigania nikashinda kishawishi
Najiuliza yule demu ana tatizo gani hadi yupo pale sijapata majibu.
Kumchunguza mkeo ni jambo muhimu, kwasababu unaweza ukaepusha majanga kwenye familia kabla hayajawafika, Mwanamke ni kiumbe wa kulindwa na kuongozwa kama watoto wako unavyowatunza.
Binafsi naona kuna faida zaidi ya hasara.
Paul clement - mwaminifu
Fanuel sedekia -Nishike mkono
Sarah K -Mnyunyizi wangu
Solomon Mukubwa- Mungu mwenye nguvu
St.Lavendar Obuya - Sema nami
Paul mwangosi -kila siku u mwaminifu
Essence of worship - mimi siwezi
Paul Clement -mwema
Boaz danken -haufaninishwi
Fanuel sedekia - Manukato
Nakumbuka ile movie Above the law akiwa na Biu Yuen na Melvin wong.
Movie Top Squad na movie No retreat No surender akiwa na Loren avendon, max thayer na matthias Hues
Poleni sana kwa hasara na maumivu mnayoyapitia, tuna safari ndefu sana kumkomboa mkulima, na hayo mabadiliko yataanzia kwa wakulima Mwenyewe kuwa na umoja.
Vanilla international wanao tuhadaa kununua kilo moja kwa 1m wapo wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.