NAONA NI MAPEMA SANA KUMLAUMU MWANAMKE.
HATUJASIKIA YA UPANDE WAKE.
SAWA TUSEME YEYE HANA SIRI, HAJAFANYA MAAMUZI YA AKILI-.
LAKINI TUKIO LILIFIKA KWA POLISI NA WALITAKA KUZIMA JUU KWA JUU.
JE NAO HAWANA SIRI? HAWANA AKILI?
PENGINE JAMAA NI UTAMADUNI WAKE, NA SASA AROBAINI YAKE IMEFIKA.
KATOKA...
Sina shida na manabii na mitume feki.
Ni kama waganga wengine wa kienyeji na wachawi na matapeli wanaotafuta maisha yao kupitia upumbavu wa wengi.
Soko la wapumbavu ni kubwa tanzania, kiasi kila tapeli anasajili kanisa na kuvuna pesa kwa kutumia jina la bwana!
Hizo initials zisikutishe,
Elimu kubwa, matokeo kidogo.
Kuna ambao hawajui hata maana ya CPA,
lakini wana uchumi mkubwa kuliko wewe na vizazi vyako vyote
Hivi umewahi sikia kampeni za usawa wa kijinsia kwenye dunia ya waarabu? na mashariki ya mbali?
kwa nini Africa?.
JIBU: Kutokana na watu hao kukosa maono na muelekeo wa maisha yao, na hatima yao ina amuliwa na wachache.
Ebu ona:
1.Wafadhili wakubwa wa mikutano,semina,warsha na taasisi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.