Kutokana na fulsa zilizotakiwa watanzania waweze kusoma masuala ya gesi na mafuta lakini mpaka sasa nafasi hizi kwenye website ya wizara ya madini zimefungwa na wajanja wachache hili zisifunguke na watoto wao wakiwasambazia ujumbe na kuwapa tangazo hilo . Je waziri analifahamu tatizo hilo au nae...
Kazi hipo sasa kumbe ndio namna ya kuyafumba magazeti yetu mdomo? nadhani wakishindwa kwa njia hii basi watayanunua kabisa na kuyazima kama enzi za rai ikauzwa na kuchinjwa kabisa
kama kuna uwezekano watu wanase mawasiliano ya wabunge wa zamani wa majimbo hayo lazima watakuwa wamewatuma vijana hao hili wakiwaua ufanyike uchaguzi mdogo wapate kurejea bungeni
​kampuni hizi zinamadhara makubwa sana kwani zinapelekea ukilitimba wa ajira....koo zenye influence na kampuni hizi ndizo wanapata kazi nzuri lakini wengine wanabaki kutuma CV tu
tatizo si madaktari tatizo ni wananchi sisi hatuna mkataba na madaktari bali tunamkataba na serikali ambayo ndio tumeiweka madarakani hivyo basi tunatakiwa tuwaambie serikali wahakikishe tunapata huduma ya afya pasipo kujua kuwa madaktari wamegoma au lah....hatuna mkataba na madaktari bali...
nimempa challenge tu ata mimi ni mskaji wangu pia tumezoeana kutaniana. Lakini kitu kikubwa ninachokiona anapenda kutoa mada nje ya mstari.....any way sikuwa na lengo la kumtukana wala kumdharau lakini ni lugha ya kumshtua tu mwanaharakati wetu.tupo pamoja
kwani wewe ndiye unaeamua hoja ina mashiko au haina mashiko humu kuna uhuru wa kuchagua mada gani unayotaka kuifuatilia , kama hupendi mada fulani elekea kwenye mada zenye msisimuko kwako sio kila mada lazima uchangie
nape kupitia katika simu yake ya mkononi amesema CCm lazima kishinde Arumeru , kwani ni chama makini na kama kikishindwa ujue kimeanza kufa, nayeye anaamini chama hiko bado kipo imara hivyo kitashinda Arumeru.
Source:Nape Mnauye
Umasikini si siasa safi, si kwamba ukitaka kuwa mbunge au diwani kukunyime haki ata ya kusaidia ndugu zako. je mtu akiwa ametoa msaada wa kumjengea ndugu yake nyumba au kumsaidia kwa namna yeyote abanwe kugombea?
jamani mwacheni huyu mwarabu jussa na nadhani tuache kumjadili kabisa kwani si mtanzania kwa sasa baba zake wadogo wote wameshakimbilia oman sasa nayeye anatafuta sababu ya kufukuzwa aende huko
kuna tabia ya Rostam kutuma watu waje kushamulia majadiliano na kuchafua mwenendo wa hoja lakini karibuni, kikubwa ni umma umepata ukweli juu nini kinachoendelea.
kikubwa tunachokitaka ni wahusika kutoka katika mabank na BOT watole kauli yao wamefikia wapi na sakata hili kwani kila ukiwapigia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.