Habari ndugu zangu,miaka 10 iliyopita Jino la mwisho taya la chini 'wisdom tooth ,lilimeguka nikaenda muhimbili wakapiga xray.
Lilikuwa limeota vibaya kitaalamu (horizontal 3 molar cimpaction),baada ya madoctor kusoma ile xray wakaanza kulidiscuss kwa muda mrefu.
Kama vile tatizo nikubwa...
1. Habari zenu wana team.
2. Habari zenu ma single lady wote.
3. Habari zenu ma single boys wote ambao mnaharibu mabinti wawatu mahusiano Miaka mitano na hakuna hata dalili ya Ndoa.
4. Habari zenu madada wote ambao mnamatarajio makubwa na ndoa lakini bado Mungu hajatoa kibali.
5. Habari zenu...
vipi kwa kifo cha mwaka 1998
waweza kufungua kesi ya mirathi
leo?Ni watoto 7wa mama
tofauti,baba mdogo alijichagua
kuwa msimamizi,sisi watoto wa bi
mkubwa tulirithishwa kijijini na
watoto wa bi mdogo mjini
DSM.Kulikuwepo na kiwanja cha
mzee kingine jirani na nyumba va
Dar,dingi mdogo...
Ameiba simu ya rafiki yangu jana,kosa alilolifanya, aliingiza line yake akachange WASAP number.Sasa ukiwa kwenye wasap group ukabadili number,wasap wanatuma notifocation kwenye group.Alipigiwa simu akawa anababaika,leo siku nzima amezima simu.Wana JF Tunamsaidiaje uyu rafiki
Nauza mimi mwenyewe kitu kipya kabisa nauza nina shida.
G
Network
GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G
Network
HSDPA 850 / 900 / 1900 / 2100
4G
Network
LTE (market dependent)
SIM Micro-SIM
Announced 2013, March
Status Available. Released 2013, April
BODY Dimensions 136.6 x 69.8 x 7.9 mm...
habari zenu wana jf,mimi ni mwl wa manispaa ya kinondoni.Miezi miwili iliyopita manispaa waliniingizia pesa ya likizo ,kwa bahati nzuri au mbaya walinizidishia pesa.Baada ya wk 1 nikapigiwa sm na watu wa manispaa kunitaarifu walikosea wakaniingizia pesa ya mtu mwingine! Niliwaambia ngoja niende...
Siku moja nilimtuma dada yangu anitongozee kadem fulani jirani yetu,si utani kipindi hicho bwana mdogo domo zege ,dada akafanya kazi yake akaniambia mtoto nimemsomesha na kaingia line kazi iliyobaki ni kwako! kiroo wacha kianze kudunda.
Sasa kichekesho nilipokutana na mtoto ' nikaanza mambo...
Bahili alinunua Mbuzi akamwambia Mpishi. "Nyama nusu ipike pilau na nyingine itie kwenye friji,kichwa fanya supu na miguu fanya mchuzi wa chukuchuku,ngozi usitupe tutafanya mkeka,utumbo pika na ndizi,mifupa tutawauzia wenye mbwa,kinyesi weka kwa ajili ya mbolea ya bustani"...Mpishi akamuuliza "...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.