Ukabila mara nyingi hunatumiwa na wanasisa katika mkabala wa uchaguzi.........wanasiasa huipata fursa ya kukusanya vijana wasio na ajira ya kudumu na kuwaonyesha jinsi chanzo cha shida zao zinasababishwa na kabila jirani. Tuondoe ufukara, ukabila utakosa makali.
Wakuu, nawaamkueni! jamani dua langu JUKWAA LA EAC. hii EAC utaipata katika nyuzi katika karibu kila jukwaa - international, kiuchumi, elimu, kisheria, kitamaduni, kisiasa nk. ni bora masuala ya EAC yajadiliwe chini ya jukwaa lake.
dua na mtazamo wangu.
Wakuu nawaamkueni, dua langu ni kuanzishwe jukwaa la hii EAC. Naona kutakuwa na mengi kujadili kisiasa, kiuchumi, kitamaduni nk. na itakuwa vigumu kufuatilia nyuzi zinazotaja EAC katika majukwaa tofauti. Tayari kuna nyuzi kadhaa: zihamishwe JUKWAA LA EAC. dua na mtazamo wangu.
Tangu enzi za wagiriki uigizaji wa jukwaa procenium theatre umechukuliwa kuwa ndiyo theatre kamili. wanachuo wasomapo huwa wanasomea stage theatre.
Lakini je ni ipi iliyo bora baina ya ile ya kuhusisha umati- ambayo ndiyo ya ki-afrika?
Katika jukwaa, watazamaji huwa wachunguliaji tu - huku...
unapojifunza lugha nyingi, msamiati wa kwanza huwa tarakimu moja hadi kumi. lakini wajua kuwa neno la herufi 3 ni karibu sawa katika asilimia 70 ya lugha za ki-bantu?
wajua kuwa lugha nyingi huwa base 10- yaani ni mafungu ya kumi kumi. ishirini ni mafungu ya kumi mara mbili, mia ni makumi...
Asanteni nyote kwa mchango wenu. nafikiri kila lugga ni kukuzwa na hivyo basi jina militarism naamua ni UJESHIJESHI. tayari nachangia liorodheshwe kwenwe kamusi.
Basi yaelekea kila lahaja ina dai halali kuwa yao ndiyo....ndicho kiswahili halisi- wanachuoni watuamulie. kwanza waeke nguzo tutakazo fuata.
Kiswahili ni nini? lugha halisi ni nini? nini uhusiano wa lugha bayana tamaduni? je, idadi ya waneni ni hoja? kazi kwetu wanaJF.
Basi kulingana na logic yako ni sawa kusema kuwa kule waarabu walipokaa wakisubiri upepo ndiko walipata wanawake wa kibantu na vile vitoto vikaiga lugha kwanza za kibantu kisha upepo ulipowapepepusha mwambao na kukikuza kiswahili. itakuwa unreasonable kutarajia kiswahili kiwe sawia kote afrika...
Jamani, tutambue kiswahili sawa na lugha zingine zi na ufupisho. hata katika braille zaitwa contractions. kote uswahilini neno mimi hufupishwa kuwa mi, neno nini - kwa mfano, pilipili usoila yakuwashiani? - hutamkwa 'ni'. majungu pia humezameza baadhi ya silabi. isn't it?
Tofauti za matamshi...
Yaelekea watanzania kila wanapojichunguza wana mazoea ya kujilinganisha na wengine. mara nyingi hujilinganisha na jirani wa upande wa kaskazini.
Haya basi ndo hao....next tuwaige nini? ubepari, rushwa, ukabila, na Sasa ulipuaji mabomu!
The guy comes out as a serial killer, with a cultist bent, and trying his hand in being a hijacker. each of this is bad enough - and the guy has THREE of this!
Like all serial killers the guy is intelligent and had a ritual to go with the murders. it was when he added the kidnapping thing that...
Obama anakashifiwa kwa kuunga mkono upande mmoja wa kampeni hizo kiasi kwamba anamtuma makamu Biden.
Marekani wana nia gani afrika mashariki? baada ya kenya ulowezi utawaelekeza wapi?
Idadi wa wenda zao huku ikiongezeka na manusura kujitokeza, wanaochochea ghasia - iwe wana-YES ama wana-NO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.