Mh. Rais wetu John Magufuli.
Sisi ni wananchi wa Kinondo mashariki kata ya Mabepande Wilaya ya Kinondoni.
Tuna mashaka sana na zoezi LA uhakiki wa ardhi linaloendelea hapa Kinondo Mashariki, kwa sababu zifuatazo:
1. Mkuu wa wilaya ya kinondoni amewajumuisha na wale wanaojiita wanamashamba...
Wana JF habari zenu,
Mnamo mwaka 2002 aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh. Yusufu Makamba alitangaza baada ya miezi sita kuwanyanganya ardhi wale waliokuwa wakimiliki mashambapori hayo kwenye kitongoji cha Kinondo Mashariki kata ya Mabwepande wilaya ya Kinondoni iwapo hawatayaendeleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.