Habari wadau,
Nataka kufungua ka grocery kangu nipate hapo japo mia 2 mia 2, sasa issue napata utata kati ya fridge brand ya Boss au Hisence showcase.
Naombeni wazoefu au wataalam wa hizi mambo ili nifanye maamuzi mujarab
Hii topic ishajadiliwa mara kadhaa kwenye hili jukwa la sheria , jaribu ku search.
Kwa kifupu japo mi si mwanasheria ni kwamba,
Cheti cha kuzaliwa ikishapita 2 yrs tangia kisajiliwe RITA hawahusiki tena na mabadiliko ya chochote kwenye cheti, unatakiwa umwone mwanasheria kwa ushauri nadhani...
Habarini wabobezi wa hili jukwaa, kuna binti wa shem wangu amesoma shule hadi f4 kutumia majina ya babu yake cause alilelewa na nyanya yk, cheti cha kuzaliwa kinasoma majina ya baba yke mzazi. Navyojua academic certificates kubadilika kwenda kwa jina la cheti cha kuzaliwa ni ngumu unless...
Wakuu naomba kujuzwa hii imekaaje kisheria , endapo nimempangisha mtu chumba akakitumia kwa muda mrefu bila kunilipa kodi na hakuna mkataba wa maandishi tuliofanya, Je, nguvu ya kudai malipo yangu ya kodi ikoje kisheria ?
Pole mkuu kwa changamoto ulizopata, hope hutokatishwa tamaa .natamani kuunganishwa na hao wanaokuletea nipate Gala dume la mbegu ,mi nimeanza na hawa wa kwetu kienyeji nafugia mlandizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.