Hamjaelewa.... Hata ukiroot hyo kitu huwa haitoki coz imekuwa part ya system ukiiuninstall ukiizima Inapowaka inakwambia android upgrading ndo inaingiza tena, na sasa hvi ipo kwenye tecno, samsung even lg g2 moja nnayo hapa nimeletewa inatatizo kama hlo hilo... Mbaya zaidi zina ingia mpaka...
Ina virus kaka ni very common kwa simu za tecno sasa hvi.... download stockrom ya tecno iwipe yote kwa kutumia flashtool afu iandikie system tena ndo itarudi katika hali ya kawaida.
Kuna vitu vya kujifunza hapa... Nigeria wametwaa tuzo zaidi ya sita na almost kila msanii kapata tuzo moja.. maana yake walikuwa na wawakilishi zaidi ya 6, EMBU WAAMBIE WASANII WENGINE WA TANZANIA WAPUNGUZE UVIVU, TUZO KUBWA HAZINA LIMIT KUWA MWISHO MUENDE WAWAKILISHI WANGAPI. KINGINE EMBU...
Duh.... kaka umesema niko wrong kuhusu vanesa kuwa mmoja wa majaji ndio nimeulza hao maacademy kazi yao nin haujanijibu unaleta maelezo mengine. Anyway kwangu mimi haijalishi nani kashinda wasanii wote wanafanya kazi vizuri na wanastahili pongezi, hapo nlikuwa najaribu kueleza kwanin malalamiko...
Mfumo ulitumika hauangalii ubora wa msanii wala uwezo wake check BET mfano wao wanatumia majaji kama 500 kama mnakumbuka vanessa mdee alikuwa mmoja wao mwaka jana hvi ndio huwa wanachambua nani anastahili. kwa international awards huwa kuna majaji na kuna kitu inaitwa country votes inaangaliwa...
Watanzania hawamchukii kaka mkubwa ila ni wasanii wenzake ndio hao wanatengeneza magroup ya kuchafuana, kwa mfano sasa hvi ukiingia instagram kila anayepromo davido apigiwe kula mcheck profile yake utaona picha ni nani hasaa kamtuma, na pia most of hizo akaunti ni fake so kuna uwezekano mkubwa...
Hahahhaaaaaa. . .sasa cha kufanya mnyanyueni na huyo mnaemtaka ili tumpigie kula, sisi hatuna shida cha msingi awe mtanzania tu. Si sio kipaji ni akina nyie na mlimweka wenyewe muwekeni na hyo mwingne mnae mtaka Nigeria wanawasanii wawili pale wanawawakilisha. Tafsiri yake ni ubora sio lazma awe...
kama ni htc one mini kwa haraka haraka, check ukichomeka kwenye computer inafanyaje... kama hakuna response yoyote jaribu kushikiria power button na cha volume - kwa kama sekunde 20 hvi huku simu ikiwa imechomekwa bado kwenye computer..
kama bado iko kimya jaribu kutumia spirit au petrol...
install custom rom, uwe unatumia pure android ndani yake kuna playstore na features kibao za android.... one of the best custom roms kwa hyo simu yako ni Lewa os na s5mini rom [ROM][NOKIA X/XL][OTA] Lewa OS 5.1 (26-09-20⦠| Nokia X | XDA Forums
kuna kubypass unatumia evrythng fine isipokuwa 3g na gsm network.... kama simu inakuwa kama ipod tu using wifi!! ila hyo kitu ni bure kbsaa hata wewe unaweza ukafanya, kuna servers huwa wanazitumia
ni network lock au passcode za kawaida kaka? Jaribu kurepair kwa kutumia Sony pc companion, google kuna maelezo mazuri tu ya namna ya kufanya kutumia hyo software
actually inawezekana sasa hivi, sema kama ni simu itakuwa kama ipod hakuna mtandao just wifi..... kuna post nlitoa inamaelezo ya namna y akubypass hyo apple id au activation lock
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.