Azam acheni lazima muwe makini sana yaani dish mpaka apps zote mamtatizo tu - matatizo hamkujua kuyafyatua isipokua ligi imeanza.
mlitakiwa kufanya haya mapema kabla ya ligi-- apps imekua kama ya ndigila masanja!
wangefanya kama package za nnchi zingine unalipia kidogo unatizama ktk simu--- sasa wenyewe wanataka tununue decoder wakati wengine tupo huku india hata signal hatupati... fanyeni maendeleo jamani.
Natumaini wadau hamjambo-
wengine tupo nnje ya nchi na hua tunatumia sana azam application kutizama program za kiswahili pia na habari za nyumbani ila kwa sasa tunaona matangazo tu leo siku kama ya nne.
je kuna taarifa zozote kwanini zimekatwa?
nashukuru sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.