Makamba ni ukoo wa panya.
Mwamvita makamba baada ya kupata deal la maana tanesco akaacha kazi Vodacom.
Makambas ni watu wa hovyo sana wasiofaa kwa lolote, yule mzee wa hovyo mkamba viatu wakuu. Yuko tayari kusema lolote ili mradi kutetea watoto wake.
Samia amefanya jambo jema sana kuondoa...
Rais amesikiliza kilio cha wananchi kwa kuondoa kirusi tanesco kwa kuondoa makamba na mazao yake.
Makamba na maharage ndio ilikua tatizo tanesco.
Watu wa hovyo kabisa toka Tanzania ipate uhuru.
Ukoo wa makamba ni ukoo wa panya
Makamba na Maharage ni wezi
Maharage amekaa Tanesco miaka 2 hajaacha legacy yoyote, miaka miwili ilikua ni PR na kuiba hela tu mikataba isiyo na kichwa wala miguu wakiwa na Makamba.
Mkuu acha mihemko. Matengenezo gani yamegharimu 7 trilioni?
Taarifa ya serikali ni bwawa limetumia trilioni 6.7 ila hadi sasa imelipwa trilioni 5+
Hizo figures zako unazitoa wapi? Fuatilia taarifa halisi ya serikali mkuu achana na hadithi za vijiweni.
Maharage haondoki pale ni stori tu za watu.
Kwa sababu msingi wa tatizo la umeme ni Tanzania kutokua na vyanzo vipya vya umeme wakati mahitaji yameongezeka.
Sasa kwa sasa hata apewe malaika Gabriel kuongoza tanesco tatizo hili la upungufu wa umeme halitaisha hadi pale bwawa la mwalimu Nyerere...
Canada ni nchi iliyoendelea, sio nchi inayoendelea.
Mashariki ya kati na mbali ni nchi zinazoendelea ndio maana unakna majengo ya mitindo mipya. Montreal ilishaendelea.
Jambo la pili, kuyabadilisha hayo majengo yawe na mavioo vioo na kuwaka waka kama yaliyoko china sio kazi ngumu, ni kazi...
Sio kweli. Kinyerezi 1 ina 180MW na kinyerezi 2 ina 240 MW.
Mengine ya kwako sijasoma kwa sababu hayana maana kwa sababu umeanza ma uongo sina sababu ya kusoma uharo wako mwingine.
Matatizo ya umeme nchini ni historical, nchi imekua, watu wameongezeka lakini vyanzo vya umeme vikabaki vile vile.
Sasa kwa hali ya sasa hata awekwe malaika kuongoza tanesco mgao ama upungufu wa umeme uko pale pale kwa sababu mahitaji ni makubwa kuliko vyanzo vya uzalishaji.
Magufuli aliwaza...
Mkuu umekuja pale nilikua nasema. Sasa hao mainjinia 50 walioshindwa mtihani ukitafta wako waliosoma seminari ama private za maana Tanzania na waliosoma kayumba, no difference.
Shida iko kwenye mfumo wa elimu, hakuna tofauti kati ya aliesoma private ama government.
Exposure is a broader term, nipe specific exposure anayoipata aliesoma private kuliko wa serikalini.
Halafu aliekwambia sina hela ni nani? Nimekuuliza swali wewe unaenda kwenye personal life yangu wakati hunijui, ama umekua mke wangu hadi ujue maisha yangu kwamba sina hela?
Ili nisiendelee kujifariji unaweza kunisaidia kujua tofauti yao mkuu ili nijifunze zaidi? Tuki assume wote wana divisheni 1 ama wote wana divisheni zero. Unawezaje kuwatofautisha?
Kujifariji kitu gani? Niambie tofauti yao basi ili nisijifariji.
Niambie tofauti ya mtoto aliesoma private school ukalipa ada 8m na aliesoma shule ya bure halafu wote wana divisheni 1 ya pointi 12 ama wote wana zero. Nini kinaweza kuwatofautisha?
Ama uniambie basi tofauti yao wote wamemaliza...
Peleka mtoto shule ya serikali hakuna huo ujinga.
Kwa Tanzania ya sasa kusomesha mtoto shule za private ni kupoteza hela kwa sababu wakimaliza form six ama four, hakuna kinachowatofautisha kati ya kusoma private ya milioni 8 na kusoma shule ya bure, wote ni zero brain, no life skills, no...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.