Sec 120 of the PC condemns Fraudulent acts , Civil servants in particular, let us see how Politicians henceforth including Provincial commissioners are exonerated from the act?
Habari yako mkuu,
Nakujibu swali lako ingawaje kuna watu ndani ya hii forum kazi yao ni kuzinduka na kuvuruga mawazo ya watu.
Pamoja na kwamba hukueleza gari ni katika group gani 2wheel au 4wheel pia bei za gari zinapitana.
Gari iliyo ya kawaida sana na hakuna inachokosa na consumption yake ni...
Mkuu,
Usishangae ameuliza swali la kumsaidia amejibiwa!
Hiyo ni kazi. Kuna abiria wengi kutoka mbagala, temeke, buguruni hata wanafunzi wa uhasibu wanaanzia hapo nimesema kuelekea kigamboni.
Gari za machinga complex zinapita hapo zikiwa zimejaa hivyo kukiwa na gari ndogo za kuunganisha ni poa...
Jamii forum is no longer a place for great thinkers, Mimi naona vibaka ndio wamejaa baada ya kujua kutumia au kuwa na smart phone shida imefika.
Mtu anaeleza jambo lake kutoka moyoni akihitaji ushauri kama huna cha kumfaa si ufunge mdomo tu!
Wadau,
Asalam aleikhoum.
Faiza Foxy na wewe kaveli, kama baba zenu wapo muwafate mkawawashukuru kwa kuwapeleka shule au mtu yeyote aliefanya hivyo.
Mnaelewa kabisa kabisa ni nani anatumia taaluma yake kama alivyoipokea au ni nani hawezi.
Hawa waandishi wa habari wanaandika kiswahili katika...
Mdau,
Unaona kama kuna wadau wa4 wameshabikia thread yako.
Mimi sijakuelewa lengo na madhumuni ya hili tangazo lako.
Wewe, ni mbia, mwanzilishi ujenzi wa kiwanda, finacer ama kitu gani?
Nisamehe lakini kwa kuwa na kichwa kizito, sio makosa yangu ni maumbile.
Mdau,
Kuna watu wanapenda kuandika vitu wajihesabu wao ni wana forum na wana smart phone wanaweza kuchangia Mada.
Hili swali lako ni la kuuliza wana jamii kweli?
Hiyo Mali yako so hadimu au ni special saaana kwamba ni ya kutafuta au Ina mpango maalum!
Unataka mtu achangie nini zaidi ya...
Mkuu,
Swali yako nzuri na kweli unatafuta kujikwamua.
Cha kufanya: tafuta fundi anaweza kushona chupi ya bati uvae kisha peleka gari yako chuo cha uhasibu pale sjui ni Sam Nujoma au Mandela, peleka abiria kigamboni kupitia darajani....shida viboko, utapigwa viboko Vinngi sana hivyo hiyo chupi...
Mkuu,
Wewe ni mtu una akili ya nini upoteze muda wako kupigia mbuzi gita? Atacheza kweli?
Wengi kwenye kutoka marejesho wana zile sababu za Sungura.
Kushindwa kupanda juu anasema zabibu za juu mbichi!
Usiumishe kichwa chako mkuu flight ya majaribio "maiden flght" inabeba watu ambao wako risk covered in case anything happens. Yupo mwerevy mmoja analinganisha service ya ndege na dala dala ya mbagala...kifo na usingizi.
Wana jamvi.
Asalam aleikhoum. Nimewaletea thread hii tujaribu kueleweshana kwa ajili ya kuelimishana na tuwe na nafasi husika katika maendeleo ya kiutendaji kitamaduni na kijamaa.
Mtu anatuma picha kwenye mitandao niliyoitaja kisha anafanya private settings, usitizame picha kwa undani wala...
Aqeela
Pole na shida zikupatazo. Wewe umekwisha athirika kisaikologia sjui utasaidikaje.
Wewe ulisikia wapi mtu akupe mbegu kwa njia hiyo?
Afghanistan inawezekana kwa watu waendao vita au kujitoa mhanga. Hivyo wazo hilo futa unless labda kama unaleta nyuzi kufurahisha baraza lakini kama uko...
Wanjiru
Uduanzi maana yake nini?
Karobangi, kayole, umoja, buru buru, Eastleigh unaweza mwambia mtu ni duanzi akakuacha?
Mimi mwerevu sio duanzi tafadhali usitukane mtu usiemjua.
Mkuu,
Mwanadamu alimuasi mungu na mungu akakaa nae mbali sababu mitume wote hakuna aliemwona mungu, walikuwa wakizungumza nao kwa njozi!
Leo huyu mkuu angejua kwa hakika mungu wanataka nini kwake.
Tunabahatisha kuwa kwa kuwa alibakia hikp kwa ndoto take basi! Aanze kugawa urithi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.