Ndugu wana Jf napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale members wote waliotoa mchango wao wa mawazo, elimu, ushauri atimae nimefanikiwa kusolve tatizo LA gari yangu.
Gari yangu in Toyota Voltz tatizo lake kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza.
Kwa awamu ya kwanza kabla sijaomba...
Nomba ushauri gari yangu TOYOTA VOLTZ ugonjwa wake gari ni nzito nikapeleka garage za mtaani wakafungua gear box na kubadilisha hydrolic cha ajabu imekuwa ata afadhali na awali imekuwa nzito zaidi. Nomba mwenye kujua au mwenye kunishauri anisaidie ili niweze kujua namna ya kuweza kupata...
Ndugu waheshimiwa,
Plani yangu ilikuwa kuagiza Voltz bahati mbaya bajeti imegoma, nikaona nitafute gari nyingine, SUV, itayoendana na hali ya mfuko wangu na hali ya barabara ninakoishi. Gari tajwa hapo juu nahitaji mojawapo. Naomba ushauri wenu kwa wenye nazo au experience na hizo gari hasa...
Ndugu JF wenzangu leo katika pita website za usedcars Japan nimeona gari aina HONDA HR-V SUV drive 4WD engine cc1600 bei yake 2500 dollas. Ninavyojua mimi gari hizi bei yake huwa juu sana lakini hii bei cheap na cc ndogo na nimeipenda kutokana na kipato changu na hali ya barabara ninakoishi...
Natafuta binti wa kuoa umri 23 - 27, sibagui dini wala kabila awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, mimi ni mkazi wa Dar na ni mwajiliwa serikalini, umri wangu miaka 29.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.