pole sana kwa huyo dada, lakini angetakiwa asubiri mpaka huyo b/f wake mwenyewe aseme, na the worse part ndo kaenda mpaka kubeba mimba mbona hivi lakini?
Hakuna hata haja ya kumwambia mkewe wala kusubiri wakati mkikutana pekeyenu, wewe mkikutana tena mpe live kwamba shemeji sipendi the way unavoongea juu yangu, na vyote anavyofanya. wish you all the best.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.