Noda ya watu 3, labda na zaidi - waiojulikana.
'UKIMWI' unapewa nafasi gani hapa?
UKIMWI + it's associated diseases.
Please people. think a bit deep. HIV/AIDS
Ni mume kwa miaka zaidi ya 25.
Anasema ameamua kuwa na mtoto nje ya ndoa.
Ndoa ina mtoto mmoja, zaidi ya miaka 23.
Ni ndoa halali ya ki-kristo.
Mtoto alezaliwa hana mwaka. Mume kasema 'aliamua' .
Hii imekaa vipi? Hatua gani mke achukue hatua gani sahihi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.