Wakuu habarini za usiku,nilikua naomba msaada kidogo,ni sehemu gani kwa hapa dar ni nzuri "for having a date with a woman",neither cheap nor expensive,just middle class and romanting kwa hapa dar ?
Hamna haja ya ushauri maana mpaka umeamua kuacha mabegi kwake ulikua tayari unplan nzima kichwani ndo maana ukaona starting point ni kudeposit luggage,just finish what you started
marafiki ni watatu hivyo kila mmoja alirudishiwa 1$ ambayo kwaujumla ni 3$ ambayo ukijumlisha na 25$ ni 28$ ambayo ukijumlisha na 2$ ya karani unapata 30$
Nafikiri jibu ni hamna $ iliyopotea
mwanaume anakua confident na mwenye midadi ya hali ya juu na mwanamke hua mwoga juu ya wanachoenda kufanya(wakati wa kwenda).mwanamke hua aibu na majuto na hataki kuwepo sehemu ya tukio na mwanaume hua mtaratibu maana kamaliza kazi(wakati wa kuondoka)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.