Jana nikifatilia mkutano wa rais na wafanyabiashara nilipitwa na sehemu ya hotuba/maagizo ya mh rais magufuli kwa mama samiah mpaka alipotaja namba zake za simu..
Wanajamvi kuna mambo yanakera anakuja mtu unaeheshimiana nae sana,anaomba mkopo let say anataka laki tano Na unampa huku akiahidi kukupatia ndani ya siku mbili.
Lakini kifuatacho baada ya kumpa nikama ndio umempa ticket ya kutosalimiana,kukupigia simu wala kukutafuta,nimejaribu kutumia njia za...
Nyumba ya kupanga inatakiwa self contained,iwe na eneo kubwa na parking,garden na fans yenye security systeam,iwe na vyumba kuanzia viwili au vitatu kimoja au viwili viwe ni masterbedroom
Kama unayo wasiliana nami kwa whatsap no +97455783566
Tuma pic ya nyumba ndani na nje.
Iwe eneo linalofikika...
Dada BRANDINA GREGORY mlemavu asie na miguu na mikono ila anaandika vizuri mwanafunzi kidato cha 4 shule ya sekondari kaliua mkoa Tabora anahitaji msaada wako kwa ajili ya mahitaji yake
1. CHOO anasema anateseka sana choo anachotumia ni kile wanachotumia wazima pale wanapoweka miguu wazima yeye...
Ni mwanafunzi wa kidato cha nne shule ya Secondari Kaliua mkoani Tabora wilaya ya Kaliua.
Alizaliwa hana miguu wala mikono na mpaka sasa anamudu kuandika vizuri na kufanya shughuli zake ndogo ndogo.
Ana ndoto za kuwa mwanasheria mkubwa nchini atakaesimama kuwatetea hasa watoto wakike...
Wakuu nimefatilia nyimbo zote kumi na tano zilizofungiwa,
Mpaka sasa wimbo wa young D bongo bahati mbaya sijui wametumia vigezo gani kuufungia,hapo ndipo nikawa namaswali kibao mojawapo ni kuhusu wimbo wa ney wamitego,Wapo.
Wimbo ulifungiwa na mwakyembe,siku mbili baadae mkulu akauachia,nikabaki...
Pikipiki aina ya Toyo 150cc inahali nzuri kabisa inamiezi kumi.haijawahi kutumika kama bodaboda inauzwa..mmiliki amehamishwa kikazi hivyo inauzwa.kama upo arusha wasiliana na muhusika kwa 0787803577.pia no ipo whatsap....
Kumekuwa na makundi tofauti tofauti katika whatsapp yanayoibuka Ili kumvutia mtu awekeze pesa ili wajanja wazipige kwa kisingizio cha kutrade ili upewe mpaka 70%ya mtaji wako in 4days only.
Makundi hayo ni kama tajirika na forex,forex investors nk.
Vinara wa wizi huu ni Dada mmoja anaejulikana...
Kwa muonekano mzuri wa kisasa katika paa la nyumba yako hapa ni sehemu sahihi kwa kazi hiyo.
tupo arusha na tunafanya kazi mahali popote tanzania...wasikiana kwa no ....
leo jioni nimepokea hbr za kusikitisha saana,kaka yangu ni mkulima wa eneo la dumila,Jana amepeleka mazao yake kuuza ambapo yalifikia mikononi mwa madalali,wakaelewana kuwa wauze mzigo then pesa wapeane Leo tar 30/10/2016
mzigo wote ulikuwa na thamani ya mil 4.6.cha kushangaza Jana wakakamatwa...
Kumekuwa na tabia ya skari wa barabarani kituo cha mabasi ubungo kuwakamata bodaboda na kuwadai fedha (rushwa)ili waachiwe.
Askari hao wameunda vikosi kazi vya vijana wahuni wa hapo,,vijana hao hufanya kazi ya kuzunguka maeneo mbali mbali na kukamata pikipiki.kisha huzipeleka alipo askari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.