Moja ya watu wanaofikirisha sana akili kila unaposoma au kutazama katuni zake ni huyu mr Kipanya!!huyu jamaa ana iq ya hali ya juu sana.na jambo la kufurahisha katuni zake nyingi ni katika kutoa dira ya tulikotoka,tulipo na tunakoelekea kama taifa....hongera sana KIPANYA
Jana nikifatilia mkutano wa rais na wafanyabiashara nilipitwa na sehemu ya hotuba/maagizo ya mh rais magufuli kwa mama samiah mpaka alipotaja namba zake za simu..
Wanajamvi kuna mambo yanakera anakuja mtu unaeheshimiana nae sana,anaomba mkopo let say anataka laki tano Na unampa huku akiahidi kukupatia ndani ya siku mbili.
Lakini kifuatacho baada ya kumpa nikama ndio umempa ticket ya kutosalimiana,kukupigia simu wala kukutafuta,nimejaribu kutumia njia za...
Kuhusu biashara hiyo kiukweli inalipa sana,ushauri wangu,nunua decorder za Q-sat,hizi sanasana kwa tanzania unaweza kuzipata zanzibar,au pia huku nilipo U.A.E zinapatikans na ndio zinazotumika 95%
Ukiwa na dish la FTA utaweza kupata channel zaidi ya mia tatu,na pia utaona ligi zote kubwa duniani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.