Habari za majukumu wakubwa na wadogo..
Nilikutana na mdada mmoja fb ambae anakaa G/mboto wakati namtokea mwanzo alikua ananizungusha sasa nikaona nitakuja kumkosa kwa uzembe wangu usio na faida ikabidi nibadilishe gia angani.
Niliamua kupiga nae stori za hapa na pale mpaka nikamwambia sector...
Habari za majukumu wakubwa.. Kama kichwa cha habari kinavosema hapo juu.
Leo baada ya kutoka kitandani mke wangu ameniomba kitu ambacho kimenishangaza na sikuamini kwamba angefikia hatua ya kunishawishi nioe mke ambae amempenda yeye.
STORI INAANZA:
Kuna jirani yangu ana mdogo wake wa kike...
Habari za majukumu wakubwa na wadogo..
Nina siku sijapost chochote hapa lakini leo nimeamua nije nishee na nyinyi hapa.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu..
Nilikutana na mdada mmoja mtandaoni fb akanifata messenger na kunisalimia, lakini baada ya salam nikataka kumjua ni nani...
Habari za wikiend wakuu..
Kuna mzee mmoja mfanya kazi mwenzangu lakini kwasasa amekua mtu wangu wa karibu kwa kila kitu.
Akiwa na shida labda ya kuhusiana na miamala anajaribu kujiweka wazi sana hadi namuonea huruma maana nahisi siku akifanya kwa mtu mwengine atamliza.
Ishu ni kwamba hajui...
Habari za majukumu wakuu..
Bila kusahau kwamba leo ni Ijumaa nawakumbusha ibada kwa wale wenzangu nami.
Rudi kwenye mada.. Kama inavojieleza hapo juu nawakaribisha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu..niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna watu humu wanakua wanaponda sana wadada wa jf kwamba hamna kitu sijui wengi umri umeenda na maneno mengi yasiyo ya kweli.
Lakini kwa macho yangu nimebahatika kupata marafiki kama wanne wa kike aiseee ni hatari.
Ubaya hatukuanzisha mada...
Niende moja kwa moja kwenye maada...
Mdada unapelekwa kwenye chumba kizuri haujawahi kuingia tangu kuzaliwa kwako humo mwisho wako ni viguest vumbi vilivyopo vichochoroni halafu unaleta mashauzi.
Kitu unachotakiwa kuuliza "baby kuna sehemu ya kupata chakula cha usiku karibu hapa?" Lakini...
Habari za majukumu wakuu..
Nimekuja na swali langu hapa ambalo limetokana na mke wangu..
Ishu ni hivi..
Wife nimemwambia sikukuu inakaribia na mishahara hatuwezijua itatangulia au sikukuu ndo itatangulia?
Nimemwambia ikiwa bado siku moja nenda benk katoe mahitaji watumie nyumbani na kwa bibi...
Habari za majukumu wakubwa na wadogo..
Niko na rafiki yangu wa karibu mfanyakazi mwenzangu, jirani yangu wa damu.
Ndani ya kipindi hiki kidogo cha mda wiki kama mbili nilimuagiza rafiki yangu aninunulie tv ya inch 32 used pamoja na king'amuzi cha Zanzibar cable.
Nilimwambia TV ya inch hiyo...
Habari za majukumu wakubwa na wadogo.
Adhima ya kuleta uzi huu ni kutaka kupata ushauri kutoka kwenu..
Moja kwa moja kwenye mada.
Asilimia kubwa humu najua wamepitia kipindi kigumu cha maisha ya kupanga na mpaka leo kuna wenzangu bado wamepanga kama mimi. Kuna changamoto ambazo tunakutana nazo...
Habari za majukumu wakuu...
Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu..
Nimeamua kuacha kuitumia fb kwa sababu zifutazo...
[emoji117]Inanishawishi kupiga punyeto
Nasema hivi kwakua nadate na wasichana wengi bila mafanikio kwasababu ya umbali. Na pia sura zao naziona halisi, sasa...
Kila siku mnalia lia hamuolewi,.. hampati wa kuwatuliza,.. hampendwi na wenza wenu.. Sasa mnafikiri kwa tabia kamaa hii nani atakuja kuchukua uchafu?
Walio wachache wataelewa namaanisha nini..
Kichwa cha habari chajieleza, em japo mmoja aje tupige japo story tu maana pm yangu imekuwa na mavumbi hatari... Nikipata yule ambae anajua kutengeneza mazingira ya kunidanganya nikampa vijisenti ukitoka mshahara itapendeza zaidi.
Sana sana nahitaji wale wa Dar maana ndo wajanja zaidi ambao...
Natumai marafiki zangu nyote mko salama na pia hatuna budi kumshukuru Muumba wetu ambae ndo muweza wa yote.
Katika kipindi chote cha maisha tunayoishi tunakutana na mitihani ambayo wengi wao wameshindwa kufaulu hususan kwenye kipindi cha mpito (teenage) kwa lugha ya kueleweka kipindi cha ujana...
Habari za majukumu wapendwa.
Ukimpata mdada akakuzungusha na mbunye yake na huku ameshakula sana vihela vyako bila mafanikio unayotaka usiumize kichwa kuwa na subira na pia jiandae kujipanga siku ukimtia mikononi mambo yafuatayo:
[emoji117] Hakikisha kama una nguvu unamgonga mpaka alie poo...
Habari za majukumu wakubwa na wadogo..
Kuna kitu ambacho wanaume wengi wa ki Tanzania tunakifanya lakini hatukijui kwa sababu ya kutoelewa science vizuri.
Ngoja nitoe mfano ambao darasa hili nililipata kwa mzungu mmoja ambapo nilibaki na mshangao kwa kiasi fulani.
"Wakati mnapofanya mapenzi...
Habari za majukumu wakubwa na wadogo..
Kama mada inavojieleza hapo juu.
Kama kawaida ukiwa umeolewa na serikali shuruti urushwe rushwe kama kama mpira wa mdako...
Kwa mara ya kwanza nilianza kufanyia kazi
Kigoma...Dodoma...Kigoma...Zanzibar... Na sasa hivi nakuja Dar rasmi. Nawaomba watu Dar...
Habari za majukumu wakubwa.. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu..
Sifa awe anaishi Dar au Zanzibar,..
Urafiki wetu utakuwa wa kufa na kuzikana (sizungumzii mapenzi).
Kwa alie tayari aje pm..
Nikipata mfanyakazi mwenzangu itapendeza zaidi maana tutakuwa tunabadilishana mawazo jinzi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.